Kama kweli tunataka mabadiliko UKAWA ivunjwe tu kwa sababu zifuatazo:-
1. Kuna baadhi ya majimbo CHADEMA walikuwa na nafasi 2010 lakini leo wamewapa CUF na NCCR Mageuzi.
i) Segerea - Mpendazoe alikosa kiduchu tu
ii) Tarime - CHADEMA ina nguvu
iii) Serengeti - CHADEMA ina nguvu... na maeneo mengine mengi.
2. Urais NCCR Mageuzi na CUF wanataka.Swali la kujiuliza mwaka 2010 dr. Slaa alifanya vizuri sana.
Mimi binafisi sioni umuhimu wa kugombania nafasi ya Urais kama NCCR Mageuzi na CUF wanataka Urais. Ni heri UKAWA ukavunjwa ili CHADEMA waendelee na hakuna kulala.
Na watapata wabunge wengi tu watakosa Kusini na baadhi ya mikoa kama Tanga na Zanzibar.
1. Kuna baadhi ya majimbo CHADEMA walikuwa na nafasi 2010 lakini leo wamewapa CUF na NCCR Mageuzi.
i) Segerea - Mpendazoe alikosa kiduchu tu
ii) Tarime - CHADEMA ina nguvu
iii) Serengeti - CHADEMA ina nguvu... na maeneo mengine mengi.
2. Urais NCCR Mageuzi na CUF wanataka.Swali la kujiuliza mwaka 2010 dr. Slaa alifanya vizuri sana.
Mimi binafisi sioni umuhimu wa kugombania nafasi ya Urais kama NCCR Mageuzi na CUF wanataka Urais. Ni heri UKAWA ukavunjwa ili CHADEMA waendelee na hakuna kulala.
Na watapata wabunge wengi tu watakosa Kusini na baadhi ya mikoa kama Tanga na Zanzibar.