Wananchi wa jimbo la Kigoma kaskazini waliokua wanachama wa chadema wamevunja ofisi ya chama na kuharibu kwa moto mali za chama hicho pamoja na kuchoma kadi zao za uanachama kwa kile kinachodaiwa kupinga maamuzi ya kamati kuu ya chama hicho kumvua nyadhifa zote mbunge wao kipenzi Mh. Zitto Kabwe.
Wananchi hao wamesema iwapo chadema haitatengua maamuzi yao hao watakua upande wa Zitto hata ikibidi kuhama chama watahama naye
SOURCE:-habari za saa ITV
Wananchi hao wamesema iwapo chadema haitatengua maamuzi yao hao watakua upande wa Zitto hata ikibidi kuhama chama watahama naye
SOURCE:-habari za saa ITV