unajua unaposema kuwa msaliti Zitto wote hapo mnakosea sana kwanza mmethibitisha vipi au siasa za Tanzania hamzifahamu?..nyie mnaona kama hao viongozi wa chadema wanaokuwa wanapanga maandamano na kufanya watu wasifanye kazi siku zote ndio wa maana,wanaandamana mpaka watu wanapigwa mabomu!! nani anaweza kutupa maendeleo ya nini wanasheria wanafuatilia kuhusu bomu lililorushwa kwenye mkutano wa chadema,kama unasema Zitto ni mnafiki kwanza mnafiki wa kwanza na mwehu ni mbowe!! kila siku wanapeleka watu bara barani hawa,baada ya kuwaacha wafanye kazi wajikwamue na hali ya uchumi ilivyokuwa ngumu wao wanapanga maandamano kila siku ,huku wao wakila ruzuku inayotolewa na serikali ovyo tu.chademu hakuna mwanasiasa kama kabwe kama unabisha wewe ,kufikiria unatumia ma------.