CHADEMA: Usalama wa Taifa unatengeneza Ushahidi katika kesi ya Lwakatare

Status
Not open for further replies.
Aliyemtesa Ulimboka alijitambulisha kama Ighondu ili baadaye ionekane ni usalama wa taifa na wananchi waichukie serikali.

Ukweli ni kwamba hao ni wahuni wa Lwakatare. Hawakuwa na nia ya kuua bali walitaka nchi isitawalike.

Kwa Kibanda walitumia Afande shuti ili baadaye Kibanda afikiri ni askari.

Hii kazi ya Mwigulu itawafumbua wengi macho na hata suala la Dr. Ulimboka litapata majibu.

Kaeni chini maana kila kitu kinaanza kuwa wazi.

Ramadhani Ighondu,ni wa TISS amlitajwa na Dr Ulimboka
 
Kwahiyo suala la video kuwa fake limepotelea wapi?

Itakuwa ngumu sana kumuokoa Lwakatare kama video sio fake.

Pia kumkana Ludovick kutaibua mengine mengi.

suala la video ni feki limekufa baada ya TUNDU LISSU kukiri mbele ya waandishi wa habari kuwa video ile ilirekodiwa na LUDOVICK
 
kaka huyu jamaa anashida na uelewa yeye anasema ludovick anatumiwa pesa na nape kwa m pesa wakati lisu anasema ludo anatumiwa pesa na mwiguru mbona hatumwelewi huyu jamaa wa wapi huyu.

Unatia aibu kwa arguments zako, hii maana yake ni kuwa hao wote wawili wanatuma pesa, tatizo mmezoea kufikiri in a straight line ndio maana inakuwa ngumu kuelewa, na fikra hizi ndio zinazotengeneza policies zilizofanya Tanzania ikawa ya mwisho kiuchumi duniani.

Time to go mate...!
 
Hivi katika sakata hili mbona mnyika haongei chochote. Au ndo anadhihirisha ule usemi kuwa wakubwa wakiongea, wadogo hunyamaza. Aibu tupu ndani ya chadema
 
kaibuka mwingine huyo toka usingizini, naona wako wengi wanafanya kupokezana hapa, haya endelea maana malipo yenu hayana shida ni lumumba tuu!!!! Ila na nyinyi mtalaaniwa na mungu kutumia fedha zetu kwa mipango ya kutukandamiza!!!


mbulula wewe. Mtabaki hivyo tu kuwadanganya watanzania ambao wanaujua ukweli.
 
Kuna yeyote kati yenu anayekumbuka wakati Slaa aliposema kwamba eti watu wa usalama wa taifa wanaripoti kwake yeye?

Leo hii vipi tena hawaamini usalama wa taifa?

Hivi vichwa vinavyoongea hizi points lazima watakuwa ni viongozi wa CCM, very low IQ indeed.CDM hawaiamini taasisi ya usalama wa Taifa kwa sababu kama taasisi na hasa viongozi ambao ndio decision makers katika TISS wanaside na CCM, isipokuwa wapo baadhi wazalendo ndani ya TISS ambao wanatoa taarifa za maovu ya CCM kwa chama wanachokiona kipo makini na kinatetea maslahi ya nchi.
 
kama ulijua kuwa mandela hayuwezi kumfananisha na mtu yeyote sasa kwa nini muifananishe chadema na ANC au harakati za mandela na za chadema
Unajua kabisa nimeongelea Mandela na si ANC.

CHADEMA ni chama kama kilivyo ANC, na wana watu wenye uwezo wa kufanya makubwa kwa nchi hii.

Tayari kiganja kimeshaanza kuandika MENE, MENE...
 
Uzuri watanzania wengi huku mtaani wala hawababaishwi kwa hizo propaganda. Wananchi wanaisubiri 2015 kufanya maamuzi sahihi kwa ajili ya ukombozi wa nchi yetu,
 
Kweli kuna watu wanalipwa na CCM ili kuwa against na CDM hapa JF. Tatizo ni kwamba sijui wanamdanganya nani hapa.
Uzi umeanza saa 22:48 then saa 22:50 ZeMakopo akatia neno, 22:52 Ritz akatia neno na kwenye nyuzi nyingine wamo na ni kila saa kila siku wapo/yupo.
Kwahiyo hii ni kazi mtu anafanya mwisho wa mwezi anapokea mshahara wake. Duuh!

Kuna mtu anaitwa utafakwanza alijoin jf Feb 2013 ana post 1411 hadi jana jiulize huyu ana kazi nyingine kweli?
 
Daima uovu haushind wema, kama jinc mwanga ulipotezavyo giza ndivyo chadema inavyokuja kuipoteza ccm!
 
kuna mtu anaitwa utafakwanza alijoin jf feb 2013 ana post 1411 hadi jana jiulize huyu ana kazi nyingine kweli?

mbulula nyie. Kazi kufuatilia post za wenzenu tu. Mnadhani mpo peke yenu humu muwalishe uongo guests. Poleni sana.
 
wewe ndo unajichangaya. nitajie wapi dr slaa aliwagawa maafisa wanaoripoti na wasioripoti kwake kivyeo

So your bone of contention is based on ranks alone and the entire big picture as explained in the whole statement does not count to you??? It seems you have never read any book, or if you read at all then you make conclusion based on one sentence!! Nchi hii ina matatizo makubwa kuliko tunavyofikiri wajameni!
 
Sasa hivi cd ya Dr. Slaa inayopanga mauaji kama Lwakatare ipo jikoni..! Mpaka 2015 ifike lazima CDM itakuwa mita 7 chini.!
 
Waaogopa ushahidi umesimama balaa kesi itawaacha uchiiii Hiki Chama ni zaidi ya ugaidi mengi yatajulikana mahakamani itamlzimu msajili akifute kuokoa taifa
 
Jinsi chadema isivyoamini usalama wa taifa ni bayana kuwa chadema washajua kuwa hawana uwezo wa kuongoza dola. Huwezi kutaka kuongoza dola wakati huamini vyombo vya usalama.
Hii ni sawa na mtu ambaye anasema madaktari wanataka kumuua halafu anaenda hospitali kwao kufanyiwa operation!!!

Si wanasema ukweli? We unataka wajidanganye kuwa wanawaamini kisa dola?
 
so your bone of contention is based on ranks alone and the entire big picture as explained in the whole statement does not count to you??? It seems you have never read any book, or if you read at all then you make conclusion based on one sentence!! Nchi hii ina matatizo makubwa kuliko tunavyofikiri wajameni!

hoja yako ipo wapi maana naona unalalamika tu mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom