CHADEMA UK yapata uongozi mpya

CHADEMA UK yapata uongozi mpya

mchonga

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2006
Posts
1,233
Reaction score
249
attachment.php

MWENYEKITI
Mr Salim Amar Saad

attachment.php

KATIBU
Mr Goodluck Mboya

attachment.php

MWENYEKITI WA BAWACHA
Mrs Petronilla Mwakatuma

attachment.php

KATIBU BAWACHA
Miss Margaret Malekia
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1362861346.009989.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1362861346.009989.jpg
    92.8 KB · Views: 512
  • ImageUploadedByJamiiForums1362861473.041480.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1362861473.041480.jpg
    83.3 KB · Views: 494
  • ImageUploadedByJamiiForums1362861636.923911.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1362861636.923911.jpg
    88.8 KB · Views: 458
  • ImageUploadedByJamiiForums1362861746.157558.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1362861746.157558.jpg
    106.5 KB · Views: 459
Yes haya ndo tunayoyataka, vitendo... (action) hongereni sana
 
Kuweni chachu ya mabadiliko ya kweli. Tanzania inahitaji wazalendo wa kweli, wachapakazi na wabunifu. Ni lazima kuwa kioo cha wengi na mfano. Tufanye kazi kwa moyo kujenga nchi na chama. Tunategemea viongozi wenye weledi na wasioyumbishwa.

Hongereni kwa kuukwaa uongozi. Tunategemea kuona kazi inafanyika.
 
ImageUploadedByJamiiForums1362862811.358831.jpg
KATIBU MWENEZI
Mr Matthew Alex Jutta

ImageUploadedByJamiiForums1362862924.122481.jpg
KATIBU WA BAVICHA
Mr Bernard Irondo
 
Mkuu mchonga mbona habari nusu nusu. Naomba utujuze, viongozi wapya walikuwa wanachuana na kina nani?.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahha mkuu chilisosi, hii kitu inakuwaje tena? Baviha 45??????????????????
Hii kweli ni magumashi mwanzo mwisho.
Ila kama wewe umesema nimtu safi basi hana tatizo...
Mkuu to be honest Huyo mwenyekiti ni jembe. When ur good ur good! Huyo Wa bavicha pia mtu safi Tatizo ni umri na kilaji, ukumbuke Kuwa hawa wote ni vijana wangu
 
Katibu Mwenezi ni jembe la uhakika haswa. Bila shaka CCM matumbo moto. Chillisosi mbona una muwashawasha sana?.
 
Mkuu Chilisosi hebu tumegee uzoefu hapa. Hivi vyama vyetu vinafaidikaje kwa sasa kwa kuwepo kwa haya matawi nje ya nchi?
 
Ina kuhusu nini?

Sasa kama haituhusu mmetuambia hapa ya nini?

Si mlituwekea tangazo kuwa Mnyika "ataunguruma" huko London na kwamba vinjwaji na msosi utatolewa bure.

Mimi nilishangaa kuona mpaka London inatumika strategy ya ubwabwa kuwavuta watu!!!
 
Sasa kama haituhusu mmetuambia hapa ya nini?

Si mlituwekea tangazo kuwa Mnyika "ataunguruma" huko London na kwamba vinjwaji na msosi utatolewa bure.

Mimi nilishangaa kuona mpaka London inatumika strategy ya ubwabwa kuwavuta watu!!!

Kubwa zima hovyoooooooo.
 
Back
Top Bottom