MaDED 74 wanyonyaji wa kura si haba.Baada ya kunyofoa uti wa mgongo wa wizi wa kura kwa kuondoa MA DED sasa ni wakati wa kujiimarisha
Wameshawazulumu sana Wahindi wa watu sidhani kama watakubaliwaSipati picha ya chakubanga na Jiwe watakavyo itisha kikao fasta fasta kuweka mipango ya kwenda kukopa mahindra
Walifikiri kwa kumuondoa Mhe. Lissu ndio kwamba watakula Ugali wao kwa utulivu hahaha!Ndiyo maana wanajidanganya kukata rufaa lkn shangazi kawastukia