CHADEMA twapoteza diwani Mwanza

CHADEMA twapoteza diwani Mwanza

Eraldius

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
1,122
Reaction score
912
Habali zilizo toka leo Aug,31,2011 jioni,diwani wa kata ya Kirumba( Mwanza ) kupitia CDM nd.Novatus Manoko kafariki dunia.
 
Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi.
 
Poleni wafiwa na CDM. Hicho Kiti kinarudi kwa wenyewe CCM
 
hivi wewe jamaa unafanya kazi kweli?<br />
<br />
Maana kila post j.f we ndo wa kwanza ku comment, au ndo ajira yako???
<br />
<br />
hivi huwa huamini kuwa nape anavija amesambaza kwenye mitandao ya kijamii
 
Inna Lillahi,
Wa inna Ilaihir Rajiuun!!!
 
Wewe je?, mwizi kambamba mwizi mwenza.
hivi wewe jamaa unafanya kazi kweli?<br />
<br />
Maana kila post j.f we ndo wa kwanza ku comment, au ndo ajira yako???
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom