Kanda ya ziwa tunajielewa. Kama alishindwa kutusaidia wakulima bei ya mazao yetu kupanda na kkutuepusha na kukopwa mazao yetu hadanganywi mtu atajijua.Chama changu CDM tufanye himahima tuwapige bao CUF, tumteke Dr Bashir huyo ni karata turufu kuzoa kura za mafuriko Kanda ya Ziwa uchaguzi mkuu wa 2025, viongozi wangu watukufu tulizeni akili Dr Bashir anafaa kwa vile ni muadilifu na mzalendo wa kweli.
Tusifanye makosa kumteua Tundu Lissu asiye na uchungu na nchi pia ni kuwadi wa mabeberu aliyepoteza uzalendo kwa kitendo cha kuwaombea watoto wake uraia wa USA huku muda mwingi akiutumia kula Bata huko Ulaya akiwatosa wanyaturu huko Ikungi.
Shime shime 2025 twende pamoja na Dr Bashir, Anatosha aliyepikwa vya kutosha na Hayati Rais JPM