CHADEMA tuwahi kumbeba Dkt. Bashiru, atafaa 2025

Chama changu CDM tufanye himahima tuwapige bao CUF, tumteke Dr Bashir huyo ni karata turufu kuzoa kura za mafuriko Kanda ya Ziwa uchaguzi mkuu wa 2025, viongozi wangu watukufu tulizeni akili Dr Bashir anafaa kwa vile ni muadilifu na mzalendo wa kweli.

Tusifanye makosa kumteua Tundu Lissu asiye na uchungu na nchi pia ni kuwadi wa mabeberu aliyepoteza uzalendo kwa kitendo cha kuwaombea watoto wake uraia wa USA huku muda mwingi akiutumia kula Bata huko Ulaya akiwatosa wanyaturu huko Ikungi.

Shime shime 2025 twende pamoja na Dr Bashir, Anatosha aliyepikwa vya kutosha na Hayati Rais JPM
Kanda ya ziwa tunajielewa. Kama alishindwa kutusaidia wakulima bei ya mazao yetu kupanda na kkutuepusha na kukopwa mazao yetu hadanganywi mtu atajijua.
 
Chama changu CDM tufanye himahima tuwapige bao CUF, tumteke Dr. Bashir huyo ni karata turufu kuzoa kura za mafuriko Kanda ya Ziwa uchaguzi mkuu wa 2025. Viongozi wangu watukufu tulizeni akili, Dr Bashiru anafaa kwa vile ni muadilifu na mzalendo wa kweli.

Tusifanye makosa kumteua Tundu Lissu asiye na uchungu na nchi, pia ni kuwadi wa mabeberu aliyepoteza uzalendo kwa kitendo cha kuwaombea watoto wake uraia wa USA huku muda mwingi akiutumia kula bata huko Ulaya akiwatosa wanyaturu huko Ikungi.

Shimeshime, 2025 twende pamoja na Dr. Bashiru. Anatosha, aliyepikwa vya kutosha na Hayati Rais JPM.
Wazo mfu na kejeli! Stupid wazo kabisa!
 
Chama changu CDM tufanye himahima tuwapige bao CUF, tumteke Dr. Bashir huyo ni karata turufu kuzoa kura za mafuriko Kanda ya Ziwa uchaguzi mkuu wa 2025. Viongozi wangu watukufu tulizeni akili, Dr Bashiru anafaa kwa vile ni muadilifu na mzalendo wa kweli.

Tusifanye makosa kumteua Tundu Lissu asiye na uchungu na nchi, pia ni kuwadi wa mabeberu aliyepoteza uzalendo kwa kitendo cha kuwaombea watoto wake uraia wa USA huku muda mwingi akiutumia kula bata huko Ulaya akiwatosa wanyaturu huko Ikungi.

Shimeshime, 2025 twende pamoja na Dr. Bashiru. Anatosha, aliyepikwa vya kutosha na Hayati Rais JPM.
Ati "chama changu CDM..." kweli!! Unaanza andiko kw style inayokusuta mwenyewe...duh! Ni uwendawazimu kumlinganisha Bashiru na Lissu - hilo tu linakufanya kituko mbele ya makamanda. Mwambie arudi alikotoka kunakomstahili na mwambie CDM mkusanyiko wa vichwa sio "madafu", hawahitaji vitu kama hivo. Lkn pia, kakutuma? Siku nyngne tumia ubongo ktk kupendekeza mambo kw CDM la sivo watu watakuona mwehu...dah!
 
Chama changu CDM tufanye himahima tuwapige bao CUF, tumteke Dr. Bashir huyo ni karata turufu kuzoa kura za mafuriko Kanda ya Ziwa uchaguzi mkuu wa 2025. Viongozi wangu watukufu tulizeni akili, Dr Bashiru anafaa kwa vile ni muadilifu na mzalendo wa kweli.

Tusifanye makosa kumteua Tundu Lissu asiye na uchungu na nchi, pia ni kuwadi wa mabeberu aliyepoteza uzalendo kwa kitendo cha kuwaombea watoto wake uraia wa USA huku muda mwingi akiutumia kula bata huko Ulaya akiwatosa wanyaturu huko Ikungi.

Shimeshime, 2025 twende pamoja na Dr. Bashiru. Anatosha, aliyepikwa vya kutosha na Hayati Rais JPM.
Mpumbavu weye!Hayo mataputapu yaende wapi?Nyogulefu kabisa.
 
Chama changu CDM tufanye himahima tuwapige bao CUF, tumteke Dr. Bashir huyo ni karata turufu kuzoa kura za mafuriko Kanda ya Ziwa uchaguzi mkuu wa 2025. Viongozi wangu watukufu tulizeni akili, Dr Bashiru anafaa kwa vile ni muadilifu na mzalendo wa kweli.

Tusifanye makosa kumteua Tundu Lissu asiye na uchungu na nchi, pia ni kuwadi wa mabeberu aliyepoteza uzalendo kwa kitendo cha kuwaombea watoto wake uraia wa USA huku muda mwingi akiutumia kula bata huko Ulaya akiwatosa wanyaturu huko Ikungi.

Shimeshime, 2025 twende pamoja na Dr. Bashiru. Anatosha, aliyepikwa vya kutosha na Hayati Rais JPM.
Chadema ni chama makini ndiyo sababu hakijawahi kununua mtu, hivyo Chadema haiwezi kuokota kiongozi jalalani japo haimkatazi mtu kujiunga. Viongozi huingia Chadema na kutoka lakini chama kiko palepale hakitikisiki.
 
Nitawashangaa Chadema, kwasasa wanatakiwa waibue vipaji vipya ambavyo havitakuwa vinaogopa kupigania maslahi ya wananchi, ni aibu sasa vijana wapo busy na Zuchu badala ya kujua mustakabali wa maisha yao ya baadae.

Hebu Chadema leteni movement kama M4C kutoa hamasa kwa vijana.
Nimecheka sana hapo 😂 kwamba kwa sasa vijana wapo busy na Zuchu 🤣🤣🤣 hatar sana !!!
 
Sarcasm,wahaya ni kabila la ovyo kanda ya zowa hawana ushawishi,hawaamikiki.kiitwa muhaxa ksnds xa ziwa no tusi
 
Chama changu CDM tufanye himahima tuwapige bao CUF, tumteke Dr. Bashir huyo ni karata turufu kuzoa kura za mafuriko Kanda ya Ziwa uchaguzi mkuu wa 2025. Viongozi wangu watukufu tulizeni akili, Dr Bashiru anafaa kwa vile ni muadilifu na mzalendo wa kweli.

Tusifanye makosa kumteua Tundu Lissu asiye na uchungu na nchi, pia ni kuwadi wa mabeberu aliyepoteza uzalendo kwa kitendo cha kuwaombea watoto wake uraia wa USA huku muda mwingi akiutumia kula bata huko Ulaya akiwatosa wanyaturu huko Ikungi.

Shimeshime, 2025 twende pamoja na Dr. Bashiru. Anatosha, aliyepikwa vya kutosha na Hayati Rais JPM.

Huna u Chadema wowote ndugu ila ni wale wakaanga mbuyu na kuwaachia wenye meno watafune.

Itatuchukua miaka mingi kuweza kuwa na ujasiri wakupambana na wasiojulikana Hawa.
 
Chama changu CDM tufanye himahima tuwapige bao CUF, tumteke Dr. Bashir huyo ni karata turufu kuzoa kura za mafuriko Kanda ya Ziwa uchaguzi mkuu wa 2025. Viongozi wangu watukufu tulizeni akili, Dr Bashiru anafaa kwa vile ni muadilifu na mzalendo wa kweli.

Tusifanye makosa kumteua Tundu Lissu asiye na uchungu na nchi, pia ni kuwadi wa mabeberu aliyepoteza uzalendo kwa kitendo cha kuwaombea watoto wake uraia wa USA huku muda mwingi akiutumia kula bata huko Ulaya akiwatosa wanyaturu huko Ikungi.

Shimeshime, 2025 twende pamoja na Dr. Bashiru. Anatosha, aliyepikwa vya kutosha na Hayati Rais JPM.
wewe ni popoma samahan lakini
 
Back
Top Bottom