Kikwete ameukuta Nchi inanauka kwa rushwa, Mwalimu kaicha nchi maskini sana. Kikwete ataicha nchi inanuka. ikija Chadema inaweza ikazidi kunuka, wakiingia Cuf inaweza ikanuka zaidi.
Hivi kama JK angalikuwa anaskiliza mawazo ya baadhi ya watz hasa Chadema na wanaharakati wengine, Nchii ingalikuwa vipi?
Jee Chadema mkipewa Nchi mtaendesha kama gari bovu? kila mtu atajaribu kukamata usukani tu?
Mawaziri na manaibu mawaziri ,na baadhi ya wakuu waliotakiwa kuajibibishwa na Kikwete
1)Malima na William Ngeleja Kuhusu Mgao wa umeme na umeme kwa Ujumla. alishindikiwa awajibishwe
2) Waziri wa Mambo ya Ndani. ni shindikizo la Chadema kwa Jk baada mauji ya Arusha
3) Samweli Sitta. Baada ya Kushtumiwa na CCM kwenzake kuwa mwanzilishi wa CJJ, alitakiwa awajabishwe na JK
4) Omar Nundu. wafanyakazi wa Shirika la Reli kuhusu kampuni ya India
5) Mdhibiti Mkuu wa Serekal na sakata la Jairo ndani ya Bunge
6)Eduward Oseah. Sakata la Richmond bungeni. Awajibishwe
7) Katibu kiongozi mstaafu. sakata la jairo bungeni.
8) Waziri wa Afya , naibu na Katibu mkuu. hawa kwa pamoja Jk awaondoe.
9) Hussein Mwinyi. Sakata la Gongo la Mboto. alitakiwa JK amwajibishe
10)Waziri wa Maliasil na Utalii. Sakata la TANAPA la sh 25 billion liloibuliwa Bungeni
. alitakiwa awajibishwe na JK.
11) Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo na sakata la Uvunjaji wa bodi ya CHC bungeni. lilosimamiwa na Mh zitto Kabwe.
12)Waziri wa Sheria na Katiba na Mwanasheria Mkuu walitakiwa na Chadema na wanaharakati awajibishwe na JK kutokana na kutonga Mkono katiba mpya
13)WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk Cyril Chami alitakiwa awajibishwe kutokana na wabunge (POAC), walipofanya ziara katika nchi za Hong Kong na Singapore mwaka jana.
14) kauli ya Zitto na wapinzani kuhusu Kuwajibishwa waziri Mkuu na JK.
Tuutendeni haki Utawala wa JK kama Ulivyokuwa wa Mkapa tu
Hivi kama JK angalikuwa anaskiliza mawazo ya baadhi ya watz hasa Chadema na wanaharakati wengine, Nchii ingalikuwa vipi?
Jee Chadema mkipewa Nchi mtaendesha kama gari bovu? kila mtu atajaribu kukamata usukani tu?
Mawaziri na manaibu mawaziri ,na baadhi ya wakuu waliotakiwa kuajibibishwa na Kikwete
1)Malima na William Ngeleja Kuhusu Mgao wa umeme na umeme kwa Ujumla. alishindikiwa awajibishwe
2) Waziri wa Mambo ya Ndani. ni shindikizo la Chadema kwa Jk baada mauji ya Arusha
3) Samweli Sitta. Baada ya Kushtumiwa na CCM kwenzake kuwa mwanzilishi wa CJJ, alitakiwa awajabishwe na JK
4) Omar Nundu. wafanyakazi wa Shirika la Reli kuhusu kampuni ya India
5) Mdhibiti Mkuu wa Serekal na sakata la Jairo ndani ya Bunge
6)Eduward Oseah. Sakata la Richmond bungeni. Awajibishwe
7) Katibu kiongozi mstaafu. sakata la jairo bungeni.
8) Waziri wa Afya , naibu na Katibu mkuu. hawa kwa pamoja Jk awaondoe.
9) Hussein Mwinyi. Sakata la Gongo la Mboto. alitakiwa JK amwajibishe
10)Waziri wa Maliasil na Utalii. Sakata la TANAPA la sh 25 billion liloibuliwa Bungeni
. alitakiwa awajibishwe na JK.
11) Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo na sakata la Uvunjaji wa bodi ya CHC bungeni. lilosimamiwa na Mh zitto Kabwe.
12)Waziri wa Sheria na Katiba na Mwanasheria Mkuu walitakiwa na Chadema na wanaharakati awajibishwe na JK kutokana na kutonga Mkono katiba mpya
13)WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk Cyril Chami alitakiwa awajibishwe kutokana na wabunge (POAC), walipofanya ziara katika nchi za Hong Kong na Singapore mwaka jana.
14) kauli ya Zitto na wapinzani kuhusu Kuwajibishwa waziri Mkuu na JK.
Tuutendeni haki Utawala wa JK kama Ulivyokuwa wa Mkapa tu