Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Ujumbe huu uwafikie wanachama na viongozi wa Chadema popote walipo. Loiliondo Tunahiatji ukombozi, sisi wananchi tumechoshwa na udhalimu unaofanywa na serikali ya CCM kupitia Halmashauri yake. Wilaya hii ndio wilaya ya pili katika kuchangia pato la taifa lkn ndiyo wilaya ya mwisho katika maendeleo. Wilaya hii ilianzishwa mwaka 1979 lkn mpaka leo hakuna maji yanayotoka ndani ya bomba, hakuna umeme, huduma mbovu za hospitali hata sehemu ya kuzikia mahiti ukifika waweza kutoa machozi.
Chadema karibuni loliondo tuwakomboe watz, majemedari waliopo huku hawatoshi kuimarisha nguvu japo mchango wao ni mkubwa katika kukitangaza chama, hv sasa katika nyumba nyingi za hapa loliondo zinapeperusha bendera ya Chadema na hii inatokana na ujio wa Mhe Mbowe mwaka jana watu walipata hamasa na wakahamasika mpaka kufikia hatua ya Dr. Slaa kuongoza kwa kura za uchaguzi mkuu katika vituo vya wasso na loliondo.
Chadema karibuni loliondo tuwakomboe watz, majemedari waliopo huku hawatoshi kuimarisha nguvu japo mchango wao ni mkubwa katika kukitangaza chama, hv sasa katika nyumba nyingi za hapa loliondo zinapeperusha bendera ya Chadema na hii inatokana na ujio wa Mhe Mbowe mwaka jana watu walipata hamasa na wakahamasika mpaka kufikia hatua ya Dr. Slaa kuongoza kwa kura za uchaguzi mkuu katika vituo vya wasso na loliondo.