CHADEMA, Tunataka Moshi liwe JIJI

CHADEMA, Tunataka Moshi liwe JIJI

Moshi ndio pahala fukara kabisa Tanzania hii.mji usiokua kabisa
 
Bar Na gloceries ndo zinaongezeka kama uyoga kila kukicha Na wateja ni wale wale wanabadilisha bar tu
 
Kuna shule za sekondari 2013 binafsi na za serikari, kuna barabara za lami kilomita 3220, umeme asilimia43/ katika makazi ya watu. Kilimanjaro umaskini ni asilimia 12.4 wakazi wake kwa nini lisiwe JIJI? VYUO VIKUU viko 5 nini shida,
 
Tuombe Dar watupunguze watu kama Kamilioni kamoja hivi ili Mji uwe Jiji.


Baada ya Moshi kuwa Jiji tuwarudishie watu wao...
 
Back
Top Bottom