CHADEMA, Tunataka Moshi liwe JIJI

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,300
23,022
Wabunge, madiwani na hata meya wa manispaa ya Moshi na wenyeviti wa halmashauri wote katika mkoa wa Kilimanjaro tunaomba muufanye huo mkoa kuwa mfano katika taifa hili.

Kwa muda mrefu manispaa ya Moshi imekuwa nyuma kimaendeleo licha ya wakazi wa mkoa huo ni wafanyabiashara wakubwa.

Tunataka mlete heshima ya mkoa huo, tunataka mboreshe biashara, utalii, miundombinu, shule na hospitali za mkoa huo.

Tunajua kwa sasa asilimia 70 ya wabunge na madiwani ni CHADEMA, hivyo hatutaki visingizio vya kitoto, hatutaki kusikia ufisadi katika mkoa huo.

Tunaomba mlete heshima kubwa katika mkoa huo.
 
Wabunge, madiwani na hata meya wa manispaa ya Moshi na wenyeviti wa halmashauri wote katika mkoa wa kilimanjaro tunaomba muufanye huo mkoa kuwa mfano katika taifa hili.

Kwa muda mrefu manispaa ya moshi imekuwa nyuma kimaendeleo licha ya wakazi wa mkoa huo ni wafanyabiashara wakubwa.

Tunataka mlete heshima ya mkoa huo, tunataka muboreshe biashara, utalii, miundombinu, shule na hospitali za mkoa huo.

Tunajua kwa sasa asilimia 70 ya wabunge na madiwani ni Chadema, hivyo hatutaki visingizio vya kitoto, hatutaki kusikia ufisadi katika mkoa huo.

Tunaomba mlete heshima kubwa katika mkoa huo.
Sawa
 
Wabunge, madiwani na hata meya wa manispaa ya Moshi na wenyeviti wa halmashauri wote katika mkoa wa Kilimanjaro tunaomba muufanye huo mkoa kuwa mfano katika taifa hili.

Kwa muda mrefu manispaa ya Moshi imekuwa nyuma kimaendeleo licha ya wakazi wa mkoa huo ni wafanyabiashara wakubwa.

Tunataka mlete heshima ya mkoa huo, tunataka mboreshe biashara, utalii, miundombinu, shule na hospitali za mkoa huo.

Tunajua kwa sasa asilimia 70 ya wabunge na madiwani ni CHADEMA, hivyo hatutaki visingizio vya kitoto, hatutaki kusikia ufisadi katika mkoa huo.

Tunaomba mlete heshima kubwa katika mkoa huo.
Mkuu hapo kuna kigezo kimoja nadhani kipo nje ya uwezo wao kama binadamu wa kawaida cha kuufanya mji wa moshi uwe na idadi ya watu wanaohitajika ili uwe na sifa ya kuwa jiji
 
Mkuu hapo kuna kigezo kimoja nadhani kipo nje ya uwezo wao kama binadamu wa kawaida cha kuufanya mji wa moshi uwe na idadi ya watu wanaohitajika ili uwe na sifa ya kuwa jiji
Vigezo vya watu sidhani kama watashindwaa.

Kuwa na watu wengi ni kuukuza mji kibiashara, utalii, kupanua masoko, na kukuza kilimo kwa wingi ili wafanyabiashara waje kwa wingi.
Kuna mbinu nyingi ambazo wanaweza kutafuta wataalam kuwapa njia mbalimbali kuukuza mji huo.
 
Sawa kupromote utalii , Hotel baadhi hakuna hadhi utapeli na wizi Mfano K.N.C.U /Coffee Tree inn, Pachafu ndani Pango na huduma duni balaa
 
Vigezo vya watu sidhani kama watashindwaa.

Kuwa na watu wengi ni kuukuza mji kibiashara, utalii, kupanua masoko, na kukuza kilimo kwa wingi ili wafanyabiashara waje kwa wingi.
Kuna mbinu nyingi ambazo wanaweza kutafuta wataalam kuwapa njia mbalimbali kuukuza mji huo.
Asante sana mkuu kwa maneno yako yako yenye busara
 
Wabunge, madiwani na hata meya wa manispaa ya Moshi na wenyeviti wa halmashauri wote katika mkoa wa Kilimanjaro tunaomba muufanye huo mkoa kuwa mfano katika taifa hili.

Kwa muda mrefu manispaa ya Moshi imekuwa nyuma kimaendeleo licha ya wakazi wa mkoa huo ni wafanyabiashara wakubwa.

Tunataka mlete heshima ya mkoa huo, tunataka mboreshe biashara, utalii, miundombinu, shule na hospitali za mkoa huo.

Tunajua kwa sasa asilimia 70 ya wabunge na madiwani ni CHADEMA, hivyo hatutaki visingizio vya kitoto, hatutaki kusikia ufisadi katika mkoa huo.

Tunaomba mlete heshima kubwa katika mkoa huo.
Wewe kwenu si bukoba.?
 
Kila eneo lina mwenyewe moshi, wawekezaji watawekeza wapi?

Kama kungekuwa na utamaduni wa kujenga mjini badala ya vijijini tangu zamani mngekuwa mbali
 
Nakumbuka miaka ya 90 kuna kijiji walikosa barabara ya lami kwasababu ya kushindwa kuafikiana baadhi ya mashamba kukatwa kidogo ili kupanua barabara.

Ardhi huko ndio kila kitu.
Nasubiri kusikia majipu ya open spaces
 
Back
Top Bottom