Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Yes, kuelekea 2025 lazima tujipange!
Moja ya vitu tunavyopaswa kuvishughulikia ni NGOME YETU YA ULINZI 🤣🤣🤣✌️
Yes, moja ya sababu zilizopekelea downfall ya CHADEMA in this election, ni pamoja na viongozi wetu kusumbuliwa na Police. mahakamani kila siku.
Sasa basi kuelekea 2025 let us have mawakili calibre ya ROBERT AMSTERDEM.
Ngome yetu ya ulinzi itakua strong hawa lawyers wakiwepo,
police wanasumbua upinzani sababu wanapokea maelezo toka juu, na huyo anaetoa maagizo (rais) anafanya anavyotaka sababu hamna mtu anaye Question maamuzi yake,sasa akipata mtu atakaechallenge decision zake atafikiria mara mbili kuhusu kukamata kamata hovyo!
Nimeona mawakili wa NJE ndio wanafaa sababu hawaogopi chochote and it’s too risky Wakili wa ndani -Tanzania kumpinga Mahufuli waziwazi ni kujitagutia kifo!
Lawyers from OUTSIDE the country will act as security ... thank
Moja ya vitu tunavyopaswa kuvishughulikia ni NGOME YETU YA ULINZI 🤣🤣🤣✌️
Yes, moja ya sababu zilizopekelea downfall ya CHADEMA in this election, ni pamoja na viongozi wetu kusumbuliwa na Police. mahakamani kila siku.
Sasa basi kuelekea 2025 let us have mawakili calibre ya ROBERT AMSTERDEM.
Ngome yetu ya ulinzi itakua strong hawa lawyers wakiwepo,
police wanasumbua upinzani sababu wanapokea maelezo toka juu, na huyo anaetoa maagizo (rais) anafanya anavyotaka sababu hamna mtu anaye Question maamuzi yake,sasa akipata mtu atakaechallenge decision zake atafikiria mara mbili kuhusu kukamata kamata hovyo!
Nimeona mawakili wa NJE ndio wanafaa sababu hawaogopi chochote and it’s too risky Wakili wa ndani -Tanzania kumpinga Mahufuli waziwazi ni kujitagutia kifo!
Lawyers from OUTSIDE the country will act as security ... thank