CHADEMA: Tuko tayari kwa UKUTA 01/09/2016

CHADEMA: Tuko tayari kwa UKUTA 01/09/2016

Wote mliona mbunge sugu alivyolidharau mbunge kwa kuonyesha dole la kati na upewa kaadhabu kadogo na naibu spika.

Wote mlisikia mbunge msingwa alivyotukana matusi makubwa akiwa ITV ma adhabu hakupewa na adhabu kupewa itv.
Hayo ni machache ambayo yalisahaulika kwenye kakikao uchwara huko serengeti
Vijan tupo imara kuubomoa ukuta wa tofali mbichi utakaojengwa
jitokezeni vimbulu kupambana na UKUTA.!!!!!
 
Jamani chonde chonde na UKUTA....naona mahakama ya ICC inakuja na sijui kama tunao kina Kibatala na Tundu Lissu wengi.Tuongeeni yaishe.....nyiye viongozi wa dini muko wapi...????hasa wale wa kamati ya Amani.....hatupendi sura zenu kwenye TV....Tunataka mayendo yenu ya kimaliza hili la Ukuta salama.
hao wote uliowataja ni group la ccm hawawezi ongea tunataka rais afute kauli zake potofu.

swissme
 
hao wote uliowataja ni group la ccm hawawezi ongea tunataka rais afute kauli zake potofu.

swissme
Kauli zipi?
Baba mwenye nyumba lazima awe na kauli ya mwisho...otherwise mtafute rais tofauti na magu.
 
Wewe endelea tu siku ya kuumwa kisogo na madikteta unakujia hawachaguaji unajua!! Na jinsi ulivyo mnafiki.
Kama una shughuli za kufanya,huwezi tumikishwa na wanasisa kijingakijinga.

Ishara hiyo inaonesha ni namna gani wenzetu hamna kazi na badala yake mnatafuta kufarakanisha watu kwa kujineemesha.

Kwani wanasiasa wote wakitulia tukachapa kazi mwisho wa cku c mda utasema?

Watanzania wana weledi mkubwa...
 
Kama una shughuli za kufanya,huwezi tumikishwa na wanasisa kijingakijinga.

Ishara hiyo inaonesha ni namna gani wenzetu hamna kazi na badala yake mnatafuta kufarakanisha watu kwa kujineemesha.

Kwani wanasiasa wote wakitulia tukachapa kazi mwisho wa cku c mda utasema?

Watanzania wana weledi mkubwa...
Wewe mtoto wa kiume/kike masuala ya mlegezo yamepitwa!! Katiba inavunjwa wewe unafinya pua "kazi". hujielewi weye
 
Kauli zipi?
Baba mwenye nyumba lazima awe na kauli ya mwisho...otherwise mtafute rais tofauti na magu.
hayo ndio maneno hata mwenyekitiki huwa anaonge wakati IPTL wanalipwa BILLION 400 kwa siku wewe vipi.juzi mmekwapua million200 sasa nchimbi kesho escrow keshokutwa buzaghi


swissme
 
Wewe mtoto wa kiume/kike masuala ya mlegezo yamepitwa!! Katiba inavunjwa wewe unafinya pua "kazi". hujielewi weye
Kivungu kipi cha katiba kimevunjwa?

Je,maandamano ndio sulihisho?
 
hayo ndio maneno hata mwenyekitiki huwa anaonge wakati IPTL wanalipwa BILLION 400 kwa siku wewe vipi.juzi mmekwapua million200 sasa nchimbi kesho escrow keshokutwa buzaghi


swissme
Mbona ninyi hamhoji b.13 za lowasa?

Au rushwa ni kwa ccm tu?
 
Back
Top Bottom