Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,692
Iyo picha ya Kuedit ndyo wataka kutuletea hpa.Wote mliona mbunge sugu alivyolidharau mbunge kwa kuonyesha dole la kati na upewa kaadhabu kadogo na naibu spika.
Wote mlisikia mbunge msingwa alivyotukana matusi makubwa akiwa ITV ma adhabu hakupewa na adhabu kupewa itv.
Hayo ni machache ambayo yalisahaulika kwenye kakikao uchwara huko serengeti
Vijan tupo imara kuubomoa ukuta wa tofali mbichi utakaojengwa