THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,543
- 14,803
Furaha iliyojee kuanguka kwa CCM 2015 na CHADEMA kuingia ikulu,,
naomba sana mungu uhai ili nami niwe miongoni wa watakaoshuhudia anguko hilo la mkoloni mweusi na fisadi CCM,,
without a further do,,tujiulize tutapochukua na kuikomboa nchi hii hapo 2015,
tuifanye nini CCM na jopo lake la wahujum uchumi wa nchi hii???
1.tuwafunge?
2.tukifungie chama hiko moja kwa moja kushiriki siasa?
3,tuwapeleke the hague?
4.tuwafilisi mali zao?
5.tuwaweke vizuizini maisha yao yote kwa kuwajengea jela ya mateso ili kuwaadabisha kwa dhulma kubwa waliyowafanyia watanzania takriban miongo mitano sasa??
Au tuwafanye nini hawa mafisadi,kwa maana tulipochukua nchi hii kwa mkoloni mweupetulimfukuza hapa nchini,huyu mkoloni mweusi tumpe adhabu gani??
naomba sana mungu uhai ili nami niwe miongoni wa watakaoshuhudia anguko hilo la mkoloni mweusi na fisadi CCM,,
without a further do,,tujiulize tutapochukua na kuikomboa nchi hii hapo 2015,
tuifanye nini CCM na jopo lake la wahujum uchumi wa nchi hii???
1.tuwafunge?
2.tukifungie chama hiko moja kwa moja kushiriki siasa?
3,tuwapeleke the hague?
4.tuwafilisi mali zao?
5.tuwaweke vizuizini maisha yao yote kwa kuwajengea jela ya mateso ili kuwaadabisha kwa dhulma kubwa waliyowafanyia watanzania takriban miongo mitano sasa??
Au tuwafanye nini hawa mafisadi,kwa maana tulipochukua nchi hii kwa mkoloni mweupetulimfukuza hapa nchini,huyu mkoloni mweusi tumpe adhabu gani??