kumbe wewe mpemba! Kwanini siku hizi cuf mnajifanya kutetea sana ccm haaaa!??tatizo lipo hapa kwa viongozi wote wa tanganyika wa ccm na vyama vya upinzani:
wanapenda kuufanya uwongo kuwa ukweli:
leo hii wanakataa hakuna tanganyika, eti imefutwa, wapi imefutwa, nani kaifuta hawasemi,leo tunaambiwa kuna "..maazimisho ya miaka 50 ya uhuru wa tanzania bara...", mkoloni gani alitawa nchi inayoitwa tanzania bara? Ipo wapi hiyo nchi? Hapa si kuufanya uwongo kuwa ukweli?
wanapenda kuwapotosha wananchi makusudi:
leo wanakataa hata historia ya muungano kwa upotofu wa makusudi, wanajifanya tatizo la muungano huu ni katiba wakati muungano huu umeundwa kwa mkataba na matatizo yameanzia huko, wanafanya hivyo makusudi kwa nia ya kuwafanya watu waamini kuwa nchi hizi tokea hapo zilikuwa moja, huu ni upotofu.
wanapenda siasa za "dharau" na " ubabe".
viongozi wa bara wanawadharau wananchi wao wa bara kwa kuwatia umasikini wa kujitakia huku wao wakineemeka na familia zao na mara zote wamekuwa na maamuzi ya ubabe zidi ya zanzibar, haya yote na mengine wameyarithisha sasa hata kwa vyama vya upinzani kwa upande wa tanganyika. Leo tusingelitegemea chadema kubeza na kudharau hatua ya wazanzibari kuunda serikali ya umoja wa kitaifa(gnu) na hata kuwatenga wenzao cuf katika serikali ya kivuli ya upinzani kwa kisingizio hicho hicho, na kwa kuonyesha kuwa wametihishwa hata "dharau" hata wapinzani wenzao wa nccr-mageuzi, ambao hawakuwa na kisingizio cha wenzao, pia wamewadharau na kuwatenga. Leo kina tundu lissu wanaendele na kauli za dharau kwa wazanzibar, eti "...wanaonewa huruma...rais wao aambiwe ambiwe tu...siasa za rehani.." n.k
Tatizo lipo hapa kwa Viongozi wote wa Tanganyika wa CCM na Vyama vya upinzani:
Wanapenda kuufanya uwongo kuwa ukweli:
Leo hii wanakataa hakuna Tanganyika, eti imefutwa, wapi imefutwa, nani kaifuta hawasemi,leo tunaambiwa kuna "..Maazimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara...", Mkoloni gani alitawa nchi inayoitwa Tanzania bara? ipo wapi hiyo nchi? hapa si kuufanya uwongo kuwa ukweli?
Wanapenda kuwapotosha wananchi makusudi:
Leo wanakataa hata historia ya muungano kwa upotofu wa makusudi, wanajifanya tatizo la muungano huu ni katiba wakati muungano huu umeundwa kwa mkataba na matatizo yameanzia huko, wanafanya hivyo makusudi kwa nia ya kuwafanya watu waamini kuwa nchi hizi tokea hapo zilikuwa moja, huu ni upotofu.
Wanapenda siasa za "dharau" na " ubabe".
Viongozi wa bara wanawadharau wananchi wao wa bara kwa kuwatia umasikini wa kujitakia huku wao wakineemeka na familia zao na mara zote wamekuwa na maamuzi ya ubabe zidi ya Zanzibar, haya yote na mengine wameyarithisha sasa hata kwa vyama vya upinzani kwa upande wa Tanganyika. Leo tusingelitegemea Chadema kubeza na kudharau hatua ya Wazanzibari kuunda serikali ya umoja wa kitaifa(GNU) na hata kuwatenga wenzao CUF katika serikali ya kivuli ya upinzani kwa kisingizio hicho hicho, na kwa kuonyesha kuwa wametihishwa hata "dharau" hata wapinzani wenzao wa NCCR-Mageuzi, ambao hawakuwa na kisingizio cha wenzao, pia wamewadharau na kuwatenga. Leo kina Tundu Lissu wanaendele na kauli za dharau kwa Wazanzibar, eti "...wanaonewa huruma...rais wao aambiwe ambiwe tu...siasa za rehani.." n.k
I love thisWakati Mh Lissu wakitaka kuomba mwongozo/kutoa taarifa spika alitoa kauli fulani ambayo ndani yake (kwa mtizamo wangu) inabeba ujumbe mzito.
Alisema 'tuvumiliane' na akimwacha mbunge yule aendelee kutoa lugha isiyofaa. Kwa haraka inaweza kuonekana kawaonea CDM (hasa Lissu) lakini ukitizama kwa mapana ni kama vile alikuwa anamwacha mbunge yule aendelee 'kujiaibisha' na kuonesha 'uwezo wake wa kufikiri na kutoa hoja'.
Hiyo 'tuvumiliane' ukiitizama sana na hasa katika context ya jana bungeni, inaashiria 'what else can we expect from him?' (maana mwanzo alikwisha mwambia ajikite kwenye kutoa hoja...lakini badala yake akaendelea kutoa matusi).
kumbe wewe mpemba! Kwanini siku hizi cuf mnajifanya kutetea sana ccm haaaa!??
ndoa gani mke hataki uingie chumbani kwake ila kwako anataka aingie wakati wowoteatakao na aamue kila kitu cha chumbani kwako,huko kwake hata akiingia mwanaume mwingine usihoji.Tatizo lipo hapa kwa Viongozi wote wa Tanganyika wa CCM na Vyama vya upinzani:
Wanapenda kuufanya uwongo kuwa ukweli:
Leo hii wanakataa hakuna Tanganyika, eti imefutwa, wapi imefutwa, nani kaifuta hawasemi,leo tunaambiwa kuna "..Maazimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara...", Mkoloni gani alitawa nchi inayoitwa Tanzania bara? ipo wapi hiyo nchi? hapa si kuufanya uwongo kuwa ukweli?
Wanapenda kuwapotosha wananchi makusudi:
Leo wanakataa hata historia ya muungano kwa upotofu wa makusudi, wanajifanya tatizo la muungano huu ni katiba wakati muungano huu umeundwa kwa mkataba na matatizo yameanzia huko, wanafanya hivyo makusudi kwa nia ya kuwafanya watu waamini kuwa nchi hizi tokea hapo zilikuwa moja, huu ni upotofu.
Wanapenda siasa za "dharau" na " ubabe".
Viongozi wa bara wanawadharau wananchi wao wa bara kwa kuwatia umasikini wa kujitakia huku wao wakineemeka na familia zao na mara zote wamekuwa na maamuzi ya ubabe zidi ya Zanzibar, haya yote na mengine wameyarithisha sasa hata kwa vyama vya upinzani kwa upande wa Tanganyika. Leo tusingelitegemea Chadema kubeza na kudharau hatua ya Wazanzibari kuunda serikali ya umoja wa kitaifa(GNU) na hata kuwatenga wenzao CUF katika serikali ya kivuli ya upinzani kwa kisingizio hicho hicho, na kwa kuonyesha kuwa wametihishwa hata "dharau" hata wapinzani wenzao wa NCCR-Mageuzi, ambao hawakuwa na kisingizio cha wenzao, pia wamewadharau na kuwatenga. Leo kina Tundu Lissu wanaendele na kauli za dharau kwa Wazanzibar, eti "...wanaonewa huruma...rais wao aambiwe ambiwe tu...siasa za rehani.." n.k
wazenji wamekuwa wakibip sasa leo wabara wanataka kupokea inakuwa nongwa