CHADEMA toà tamko kuwa encourage mabalozi kuhudhuria mahakamani kesi ya Mbowe

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,401
73,998
Ni vema mkatoa tamko ambalo liko backed na Sheria zetu kuwa waje Tena kwa wingi mahakamani. Kesi hii Ni ya wazi na Sheria inaruhusu wasikilizaji. Wanaweza wakatishwa na kutishika. Wahimize waje wasikie ukweli wenyewe na siyo kuambiwa. Wataandika first hand information kuwa feed wananchi wao kinachoendelea na integrity ya mahakama zetu.
 
Hata mabalozi wana wanasheria wao, hakuna ulazima Chadema kufanya hivyo, Chadema kwa sasa waangalie hitaji la msingi la watanzania watoe tamko kuhusu hizi tozo zinazobuniwa kila kukicha kuzidi kumkandamiza mtanzania wa hali ya chini.
 
Ni vema mkatoa tamko ambalo liko backed na Sheria zetu kuwa waje Tena kwa wingi mahakamani. Kesi hii Ni ya wazi na Sheria inaruhusu wasikilizaji. Wanaweza wakatishwa na kutishika. Wahimize waje wasikie ukweli wenyewe na siyo kuambiwa. Wataandika first hand information kuwa feed wananchi wao kinachoendelea na integrity ya mahakama zetu.
Ni nchi za kibeberu tu ndio mabalozi wao wanaenda kwenye kesi hiyo. Wala hawana nia nzuri ni kujaribu kuitisha serikali yetu isichukue hatua inayostahili kwa kiongozi wa chadema. Wao wanashirikiana na chadema ili kuiyumbisha nchi. Jiulize kwa nini wao ndio mabalozi wao tu waje mahakamani tena bila kufuata utaratibu kufahamisha wizara ya mambo ya nje.
 
Hata mabalozi wana wanasheria wao, hakuna ulazima Chadema kufanya hivyo, Chadema kwa sasa waangalie hitaji la msingi la watanzania watoe tamko kuhusu hizi tozo zinazobuniwa kila kukicha kuzidi kumkandamiza mtanzania wa hali ya chini.
Uko sahihi lkn CDM Ina manpower ya kutosha kufanya hayo yote. What about wanasheria wao lisipowajia wazo hilo?
 
Ni nchi za kibeberu tu ndio mabalozi wao wanaenda kwenye kesi hiyo. Wala hawana nia nzuri ni kujaribu kuitisha serikali yetu isichukue hatua inayostahili kwa kiongozi wa chadema. Wao wanashirikiana na chadema ili kuiyumbisha nchi. Jiulize kwa nini wao ndio mabalozi wao tu waje mahakamani tena bila kufuata utaratibu kufahamisha wizara ya mambo ya nje.
These are from democratic countries, and they know how African dictators treat their opponents. Moreover, they very well know Mbowe. And therefore want to get first-hand information. Unadhani China ambayo kesi ya mauaji inachukua dakika tano na hukumu kutekelezwa dakika ya sita watakuja?
 
Hata mabalozi wana wanasheria wao, hakuna ulazima Chadema kufanya hivyo, Chadema kwa sasa waangalie hitaji la msingi la watanzania watoe tamko kuhusu hizi tozo zinazobuniwa kila kukicha kuzidi kumkandamiza mtanzania wa hali ya chini.
Labda unawaambia wengine,wanasiasa wa bongo wao ni kuwatumikisha masezeta Kama mtoa Post ila ishu za kijamii wanakimbia

USSR
 
Kusema ukweli CHADEMA inaonekana ni Mbowe tu. Mbowe akizuiwa kama ilivyo sasa basi hapo ndio mwisho wake. Jambo hili siyo lenye afya kwa upinzani na siasa za Tanzania. Ilitakiwa kongamano la katiba mpya liendelee kupitia viongozi waliobaki. Kuna viongozi wengi ambao hawajakamatwa (Katibu Mkuu na wengine).

Kwa nini hatusikii tena habari ya kongamano? Mandela alipofungwa Afrika Kusini, viongozi waliobaki waliendelea na mapambano. Hawakusubiri mpaka Mandela atoke, miaka 27 baadaye. Mnyika na akina Heche wangeendelea na kongamano, inge expose serikali kama kweli Mbowe alikamatwa kwa ugaidi ama kongamano. Ilitakiwa wakamate viongozi wa CHADEMA mpaka wachoke.
Sisi tayari tunayo orodha ya mabalozi watakaokuwepo Jumatatu , wako zaidi ya 10
 
Kusema ukweli CHADEMA inaonekana ni Mbowe tu. Mbowe akizuiwa kama ilivyo sasa basi hapo ndio mwisho wake. Jambo hili siyo lenye afya kwa upinzani na siasa za Tanzania. Ilitakiwa kongamano la katiba mpya liendelee kupitia viongozi waliobaki. Kuna viongozi wengi ambao hawajakamatwa (Katibu Mkuu na wengine). Kwa nini hatusikii tena habari ya kongamano? Mandela alipofungwa Afrika Kusini, viongozi waliobaki waliendelea na mapambano. Hawakusubiri mpaka Mandela atoke, miaka 27 baadaye. Mnyika na akina Heche wangeendelea na kongamano, inge expose serikali kama kweli Mbowe alikamatwa kwa ugaidi ama kongamano.
Tarehe 4/9/2021 mkoani Mara
 
Wanachukuwa muda mrefu sana. Mwezi baada ya Mbowe kukamatwa? Sisi tunaotaka mabadiliko, tunakatishwa tamaa. Viongozi wajipange - kwamba akikamatwa Mbowe, basi anaye-step in ni fulani, huyo fulani akikamatwa, anayechukuwa nafasi yake ni fulani, nk nk. Kwa sasa serikali dhalimu inaona kwamba alikamatwa Mbowe basi wanafakiwa. Na wataendelea kumkamata Mbowe kwa sababau hiyo.
Tarehe 4/9/2021 mkoani Mara
 
Ni vema mkatoa tamko ambalo liko backed na Sheria zetu kuwa waje Tena kwa wingi mahakamani. Kesi hii Ni ya wazi na Sheria inaruhusu wasikilizaji. Wanaweza wakatishwa na kutishika. Wahimize waje wasikie ukweli wenyewe na siyo kuambiwa. Wataandika first hand information kuwa feed wananchi wao kinachoendelea na integrity ya mahakama zetu.
No mabarozi wafanye kile wanaamini ,msitwishe mzigo watu, twenzetu jtatu mabalozi KWENYE kesi ya ajabu ya mh Mbowe, na wambie nchi zenu wawapige spana tz mpaka tukome
 
Back
Top Bottom