mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Wana JF
Juhudi za chadema za kutafuta mazingira ya haki ya kidemokrasia zinatakiwa ziwe beyond internal struggle for change. kwa kuwa taarifa mbalimbali za wasimamizi wa uchaguzi wa mwaka 2010 zinaonyesha ushaguzi haukuwa huru na haki sharti Chadema watafute ushawishi wa kimataifa na mataifa mengine ili kuishinikiza CCM na serikali yake ya Tanzania iondoe sheria mbovu za uchanguzi na za ukandamizi.
Pamoja ana jitihadi za ndani kwa njia ya mikutano ana maandamano, chadema pia wafanye ziara za nje ya nchi kama vile Uingereza, Marekani, nk. CCM korofi sana, maana hata viongozi wa maJeshi (polisi, usalama, nk) , wakuu wa wilaya na mikoa wameweka wana CCM.
Uchaguzi gani unaosimamiwa na CCM, wakati huo huo CCM inagombea? sawa sawa na mchezaji wa yanga, awe refa ktk mechi ya yanga na simba. Je simba atashinda? Huu ni mchezo mchafu. Mabilioni ya uchaguzi yanapotea bure!!!!...tunaendelea kuwa maskini daima
Juhudi za chadema za kutafuta mazingira ya haki ya kidemokrasia zinatakiwa ziwe beyond internal struggle for change. kwa kuwa taarifa mbalimbali za wasimamizi wa uchaguzi wa mwaka 2010 zinaonyesha ushaguzi haukuwa huru na haki sharti Chadema watafute ushawishi wa kimataifa na mataifa mengine ili kuishinikiza CCM na serikali yake ya Tanzania iondoe sheria mbovu za uchanguzi na za ukandamizi.
Pamoja ana jitihadi za ndani kwa njia ya mikutano ana maandamano, chadema pia wafanye ziara za nje ya nchi kama vile Uingereza, Marekani, nk. CCM korofi sana, maana hata viongozi wa maJeshi (polisi, usalama, nk) , wakuu wa wilaya na mikoa wameweka wana CCM.
Uchaguzi gani unaosimamiwa na CCM, wakati huo huo CCM inagombea? sawa sawa na mchezaji wa yanga, awe refa ktk mechi ya yanga na simba. Je simba atashinda? Huu ni mchezo mchafu. Mabilioni ya uchaguzi yanapotea bure!!!!...tunaendelea kuwa maskini daima