CHADEMA TABORA: Polisi wavamia kikao cha ndani

CHADEMA TABORA: Polisi wavamia kikao cha ndani

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,917
Taarifa police wamevamia kikao kinachoendelea hapa jimbo la Manonga Tabora kikao hicho nikikao cha mashauriano na viongozi Wa majimbo kikiongozwa na viongozi wa kanda ya Magharibi Ndugu Alex Ngasa Makamu M/kiti kanda Katibu Wa Kanda Mh. Kaduma na Afisa habari Kanda.
 
Wazushi wataumbuka baada ya kustaafu kwangu - JK
 
Hivi project ya viwanda imekilika jamani?
 
Serikar imebaki kuhangaika na minor issues, wekeni bunduki chini afu mpambane na cdm kwa hoja sio kila siku kuwataftia kesi.
 
Taifa chini ya ccm limepoteza dira na matumaini ya uhuru walioupigania wana mapinduzi na wapigania uhuru wa Tanganyika kutoka kwenye makucha ya wakoloni
 
Back
Top Bottom