CHADEMA TABORA: Polisi wavamia kikao cha ndani

CHADEMA TABORA: Polisi wavamia kikao cha ndani

Hii ndiyo ajenda kubwa ya bwana yule ambaye hajiamini hata chembe! Ili kulinda kitumbua chake ameamua kuwatumia polisiccm kumtimizia uDU wake huku akijua fika wanavunja katiba ya nchi ili kumrahisishia kazi yake ya wizi wa uchaguzi 2020.

Mbaya sana hii kaka. Tuna mambo mengi sana ya kufanya kama nchi ili kujikwamua kiuchumi. Kwa nini tunakimbizana na mikutano ya ndani ya vyama? Nonsense


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni shetani kamili,japo yeye anataka watu waishi kama mashetani / ila yeye ni shetani mwilini na rohoni, hakuna lililofichika tena kuhusu uhalisia wa huyu lusifa.sio mtu yeyote wa kawaida, anayeweza kupenda watu waishi kama mashetani,utaongozaje mashetani kama wewe sio shetani ! Kwa kweli huyu sio kauli zake tu kutisha,ila hata kichwani kuna walakini, anashitusha watu mno kufuatia yanayomtoka kinywani mwake ! Kimjaacho mtu moyoni,ndicho kimtokacho kinywani.huyu ni wa kukaa nae mbali nchi imekua kuzimu !damu zinamwagila kila pembe za nchi watu nyuso hazina ruraha wala miyoyo haina amani kisa mtawala afanalekih !Mungu tuondolee hili janga ni wewe tu tegemeo letu,Amen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani taarifa zote humu jf Siku hizi ni za Polisi vs chadema
 
Hata Dkt Bashiru Ally, wa UD juzi kwenye Kipimajoto itv alikiri kuwa Tanzania ambayo ilikuwa ikionyesha mwelekeo mzuri kidemokrasia sasa inarudi nyuma kwa kasi kubwa.
 
Wanapamba na wapinzani kwanza. Wakishamaliza lbd wataanza
Watakua washachelewa sana! I gekya kila kitu serikali inatekeleza kadri ya walivyoahidi, na vinaonekana vinatendeka, akina Lissu wangekosa la kuongea. Ishu ni kwamba serikalini porojo nyingi kuliko uhalisia wa kiutendaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia
 
Gvt ya bongo ni bonge la komedia yaan imeshindwa kuwakamata wazung wa makinikia inakamata watu wanaopiga story
 
Back
Top Bottom