Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
Chadema wanahitaji kupiga kura na si kuimba kuhusu Synovate. Muda unapotea hivi hivi kwa kupiga kelele zisizo na kichwa cha kura ya maoni. Shawishini watu wawapigie kura na si kupiga kelele za kipuuzi kila siku.