matayo david matayotabola mpooooooooo,,,,,chagueni wabunge wa namna hii,,,,tanga nao ntwara ,,lindi,,,pwani,,,,achanen na vilaza,,,weka majembeshoka,,,,,yapige kazi,,,,,,,,,,,,,,,,komba,rage,,,lusinde,,,maji marefu,,,nk,nkendelea kuorodhesha,,,,wabunge walio janga la kitaifa,,,,,
Mkuu maisha ya Komba ni kulala mchana na usiku anapiga kazi. Kwa wale wanaotoka maeneo ya uchagani watakwambia hivyo. Majina mengine mkiwa mnawapa watoto wenu muwe makini, jina linawakilisha tabia ya kitu. So kulala kwake asamehewe jamani.:doh::lalala:Hivi Komba hawezi kuiga japo 0.0000000000000000000000000000001% ya Mh. Lissu? Yeye kazi yake ni kuuchapa tu Bungeni, Komba kweli mzigo kwa Taifa letu
huyu jamaa namlinganisha na messi wa barcelona.
Huyu jamaa namlinganisha na messi wa barcelona.
huyu pichani ni nani?
huyu pichani ni nani?