Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Nimeweka title kali kidogo kwa sababu nataka kudraw attention ya wadau wa CHADEMA. Actually mi ni mdau wa CHADEMA na niko huku jimboni, bega kwa bega na mgombea ubunge tunapambana na mwanaccm mmoja.
Pamoja na umuhimu na juhudi tunazofanya katika kampeni zetu, naomba, timu za wagombea udiwani, ubunge, na rais, zifikirie kutoa muda (pengine kwa kusimamisha kampeni), na kujipanga jinsi ya kuzuia wizi wa kura. Nimegundua kuwa inaweza kuwa ni sawa na mtu unapita ukipanga miche bora, kumbe nyuma yako shetani anapita akizingoa na kupanda magugu. Mwisho wa siku ukigeuka nyuma huna kitu.
Yafuatayo (naamini yamefanyiwa kazi), naomba tuyape majibu yake
Tutahakikishaje kura zetu zinalindwa katika maeneo ambayo hamna wagombea ubunge na/au udiwani? Hii Tanzania ni kubwa aisee, tusi assume tu kuwa kuna watu watakuwa mawakala, CCM are very smart in that. Ni nani atakayepita na kuhakiki majina na idadi ya wapiga kura katika maeneo haya ya pembezoni yatakapobandikwa hizo cku 8 kabla ya uchaguzi? Yapo mengi ambayo inabidi tuyaangalie...
Naomba pamoja na mbinu nyingine, tuangalie kama hizi zitatusaidia; Kuweka mawakala zaidi ya mmoja kila kituo (kwa ticket ya vyama vingine vidogo vinavyoshiriki uchaguzi) ili kupunguza urahisi wa kununuliwa, kuanza kuunda timu za mawakala kila jimbo, na pengine Dr Slaa anapopita aseme sentensi chache kuwapa moyo na hamasa (ikiwezekana hata kukutana na baadhi yao wakati wa mapumziko), kuwasiliana na wagombea wote wa ubunge na kuwaelekeza namna ya kuomba kopi ya daftari la wapiga kura kwa maeneo yao, ili kulikagua na kujipanga kutokana na kila kituo kinavyoonekena (huku kwetu tunafanya juhudi, karibia tunalipata), wanaCHADEMA naomba muongeze mbinu hapa...
Pamoja na umuhimu na juhudi tunazofanya katika kampeni zetu, naomba, timu za wagombea udiwani, ubunge, na rais, zifikirie kutoa muda (pengine kwa kusimamisha kampeni), na kujipanga jinsi ya kuzuia wizi wa kura. Nimegundua kuwa inaweza kuwa ni sawa na mtu unapita ukipanga miche bora, kumbe nyuma yako shetani anapita akizingoa na kupanda magugu. Mwisho wa siku ukigeuka nyuma huna kitu.
Yafuatayo (naamini yamefanyiwa kazi), naomba tuyape majibu yake
Tutahakikishaje kura zetu zinalindwa katika maeneo ambayo hamna wagombea ubunge na/au udiwani? Hii Tanzania ni kubwa aisee, tusi assume tu kuwa kuna watu watakuwa mawakala, CCM are very smart in that. Ni nani atakayepita na kuhakiki majina na idadi ya wapiga kura katika maeneo haya ya pembezoni yatakapobandikwa hizo cku 8 kabla ya uchaguzi? Yapo mengi ambayo inabidi tuyaangalie...
Naomba pamoja na mbinu nyingine, tuangalie kama hizi zitatusaidia; Kuweka mawakala zaidi ya mmoja kila kituo (kwa ticket ya vyama vingine vidogo vinavyoshiriki uchaguzi) ili kupunguza urahisi wa kununuliwa, kuanza kuunda timu za mawakala kila jimbo, na pengine Dr Slaa anapopita aseme sentensi chache kuwapa moyo na hamasa (ikiwezekana hata kukutana na baadhi yao wakati wa mapumziko), kuwasiliana na wagombea wote wa ubunge na kuwaelekeza namna ya kuomba kopi ya daftari la wapiga kura kwa maeneo yao, ili kulikagua na kujipanga kutokana na kila kituo kinavyoonekena (huku kwetu tunafanya juhudi, karibia tunalipata), wanaCHADEMA naomba muongeze mbinu hapa...