Vijana wengi tunaitaji mabadiliko ya KIUCHUMI,KISIASA NA KIJAMII ila CDM sio chama sahihi cha mabadiliko nasema haya kwa baada kufanya uchunguzi wa kina na kugundua kuwa hiki ni chama ambacho kinawatumia vijana kwa kuwapotosha ni si kuwajenga kupambana na Changamoto! Juzi tu Jijini Mwanza tumeona Mbunge wa CDM akitoa pesa ya kuandika mabango na kununua viroba ili wamzomee Waziri mkuu wa Tanzania kwel Chama hiki sio Sahii kwa madiliko! Viongoz wajuu wa CDM ndio chanzo kikuu cha kuanzisha vulugu na fujo ukiaangalia Arusha Katibu mkuu wa CDM Dr Wilboard SLaa anawashawishi wananchi wakavamia kituo Cha Polsi huyu kiongoz alikuwa hana nia nzur, pia Kiongoz huyu Alitamka maneno haya km CDM haita shinda nchi haita karika anamaana alikuwa tayar kuingia mstuni hii ina maana yeye ni Kiongoz asiyekubari kushindwa! Pia ni kiongoz mwenye uruho na madaraka na sio kuwakomboa watanzania! Ni wabunge wa CDM ndio waliongoz Bungen kutomtambua Rais hii inamaanisha wanakataa maamuz ya wananchi wa Tanzania walipoamua kumpa Ridhaa kuwa Rais, Wabunge wa CDM ndio waliokuwa mstari wa mbele kupinga posho, mishahara na magari ya kifahar ya wabunge ila hii wanatembelea Magari yale yale Kifahar na posho na mishahara wanapokea km kweli walikuwa na nia nzuri kwanin pesa hizo wasipokee na kuzileta kwenye shughuli za maendeleo! Watanzania ni muda muafaka sasa wa kutafakar kwa kina sio Tudananywe na maneno, VIJANA TUNAITAJI MABADILIKO KAMWE CHADEMA SIO CHAGUO SASA KWETU