hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,545
Hahaha kiwaya, unafurahisha sana(if you are kidding) and unasikitisha sana(if you are serious)
-Yaani mtu akisema kuwa CHADEMA ni chama kinachoweza kutufikisha kwenye mabadiliko tunayoyataka, ni mwanachama wa CHADEMA, halafu with that unasema una upeo wa kufikiri, SERIOUSLY?
-Yaani mtu akisema kuwa CHADEMA ni chama kinachoweza kutufikisha kwenye mabadiliko tunayoyataka, ni mwanachama wa CHADEMA, halafu with that unasema una upeo wa kufikiri, SERIOUSLY?