Si rahisi kwa ccm hii ya kutegemea polisi na wasiojulikana kuijua mbinu ambayo chadema wanaenda nayo kwa sasa , kuna style ya chadema inaitwa Kansa style , inatafuna ccm ndani kwa ndani , mkija kustuka hakuna cha Muhimbili wala Ocean road .
Wanachadema naomba mnisamehe kwa kufichua siri hii