Chadema should not apologize!


Zitto is another mada, wacha kuchanganya stick to what is on the topic, mambo ya Zitto yanaendelea kujadiliwa, sasa unataka Dr Slaa ajibu maswala wanayoongea na Zitto? ili iwaje? nyie wanadamu bana Dr. Slaa ana heshima kubwa kuja hapa na kujibu maswali kiuwazi na kusema
almost mswali ya msingi alioulizwa, ww unaliza Zitto, mm ni mtu wa hasira kidogo hata ww kama ni mwanamke nitakuchapa mboko, Dr slaa ajibu watu wangapi? use common sense, plse respect
don't use freedom of expression as a reason/ guard kuuliza hata ukoko, Zitto hatutaki mada zake tena hadi wazee wamshughulikie, period
 
hivi kama wewe tu ambaye hata dr slaa hakujui unajua kama kesi ilikuwa withdrawn baada ya uchaguzi, yeye dr slaa akisema hajui kesi ilipoishia/au hajui jibu la muuliza swali kuwa iliishaje, mtu mwenye akili atasemaje?

na ww unanikumbuka, nilisema u r a gay, whatever age u have, nitakulamba vibao huna adabu, unanikumbuka ww human animal? u r asking/writing nonsense while we are discussing serious issues hapa, ungepata kibano changu kabla ya kuandika utafikiri kwanza, you know me? idiot, mods ban hawa watu, u need to be displined umri si hoja, hovyo ww
 
Umedandia boti lisilo kuhusu soma vizuri na soma posti ya niliyekuwa na mjibu mimi ni mwanamke ambaye tutapigana mboko tu kwa mtaji wako wa kukurupuka
 
Umedandia boti lisilo kuhusu soma vizuri na soma posti ya niliyekuwa na mjibu mimi ni mwanamke ambaye tutapigana mboko tu kwa mtaji wako wa kukurupuka

Huwezi hilo i swear to God, narudia nitakuchapa mboko ukiuliza Zitto's issues ktk mada hii, mm siruhusiwi kupigana na mwanamke ndio maana nasema nitakuchapa mboko, na mwanaume mwenye mazoezi ya kutosha natumia ONE HAND bibie, mheshimu Dr Slaa bana, unauliza uliza Zitto...... unamix issues, utaniudhi sasa hivi, keep going ngoja nilete fimbo hapa karibu, be on point, CDM ni wasomi wengi i hope u r, ila uko off thread bana
 
Dar-Es-Salaam,
Nashukuru sana. Kesi ya kumpoka mtu mke? Nadhani ni vema wakaulizwa walioianzisha. Mimi sawa na wewe sijui ilikoenda. Ukifanikiwa kujua nijulishe ili nami nijue ilikoenda au ilikoishia baada ya uchaguzi.



Dr. Slaa, I admire you a lot! At the age of 62 you're still young and we need you by 2015. Imarisha chama katika ngazi zote na kusiwe na jimbo kukosa mwakilishi wa Chadema. By 2015 katiba itakuwa tayari na huna mshindani
 
Dar-Es-Salaam,
Nashukuru sana. Kesi ya kumpoka mtu mke? Nadhani ni vema wakaulizwa walioianzisha. Mimi sawa na wewe sijui ilikoenda. Ukifanikiwa kujua nijulishe ili nami nijue ilikoenda au ilikoishia baada ya uchaguzi.

Duh! Hii kali ni ya mwaka mpya unaosogea huyo Dar es Salam hawezi kurudi tena na hadithi za Pwagu kama hizi.
 


Kama hujamuelewa Dr. Slaa ktk jibu lake basi kuna walakini ktk uelewa wako na shule yako kiujumla. Tatizo la watu wengi pamoja nawe wanapenda ku challenge in ignorance.
 
Watch out mwanakijiji. U r on the edge of loosing ur credibility for being so chamelleon. We would like to continue trust in u so long as u unearth scandals that shed lights to our understanding. Chadema needs people to nurture its endeavors. So many dreams yet so many thresholds. Chadema needs patriots not opportunists. Not vultures. Not parasites. When u come to ur senses, mwanakijiji, chadema needs u!
 






Tunakushukuru Dr. Slaa kwa ufafanuzi, tunafahamu Chadema ni chama Makini ndio maana wananchi wengi wanakiunga mkono na kukiamini kama ambavyo tumeona katika uchaguzi wa mwaka huu.

Ni umakini wa viongozi wa chadema ndio unaokifanya hata CCM chama tawala kiwe na wasi wasi muda wote wakifikia kuamua jambo ambalo halina maslahi kwa wananchi.

Naomba muendelee na moyo huo kwani sisi tuko pamoja nanyi.

Peoples Power
 
kusema ukweli badala ya kukasirika nimecheka mfumo dume,mimi na kati ya wale wenye uwezo wakuchapa mboko wanaume
 

I thought Zitto alisafishwa na Kamati Kuu baada ya kumuamuru Dr Slaa kutoa taarifa kuwa Chadema inamtambua Rais Kikwete na huo ndio msimamo wa Chadema kama chama........ofcourse imekuwa ngumu kwa Dr Slaa kuswallow hilo na hivyo akaamua kuchakachua msimamo huo kuficha sura ya makosa yao na kukwepa ukweli kuwa Zitto alikuwa sawa....
 
Duh! Hii kali ni ya mwaka mpya unaosogea huyo Dar es Salam hawezi kurudi tena na hadithi za Pwagu kama hizi.

Labda huoni, au huna uwezo wa kusoma between the lines.
 

ello,
Kwani hi imekuwa pepa? yes paper? are you the resident spellchecker? if so goodluck with that!
= )

Nahuyo whoever listed what CDM should do, can they list what CCM ought to do? maana naona mjuaji.
 

Cha kushangaza ni kwamba Dokta Slaa mwenyewe kisha ijibu hiyo post, ingawa kachakuwa! wewe, pilipili iko shamba, inakuwashia nini?
 
Siyo mara ya kwanza MMM kutoa thread zenye mwelekeo huu. Tofauti na zingine ni ule msisitizo wake kwamba hayumbi na hoja zake. Kwa hiyo au tumuunge mkono au tutofautiyane naye bila kujaribu kumpa mtazamo mbadala.

Kwangu hilo limevuka kiwango nadhani hapa tunaweka mawazo jamvini kulingana na hoja zenye kushawishi hasa zikiwa na ushahidi. Hapo mwenzangu MMM ametoa hukumu bila kutushawishi baadhi yetu. Kwa mfano kutoka kwa wabunge wa CDM wakati wa hotuba ya rais aliyetangazwa na tume (nec) ana maana ujumbe haujafika kwa umma na kwamba ana maana kura hazikukachakachuliwa? Na mengine na mengine.

Aseme uchaguzi ulikuwa fair kwa vipi? Tupe data

Ni kweli kura zilikuwa tampered with, Chadema wana matokeo ya vituo vinavyoonyesha hivyo.

Kwani Kikwete kajitangazia kushinda uchaguzi wa urais si ametangazwa na NEC? Na ni baada ya NEC kuambiwa kuwa matokeo wanayotangaza si sahihi wakakiri matokeo ya Geita mbona wasiangalia matokeo mengine kwa kumuuliza tu yule aliyelalamika?

Mwenzetu hata haoni ushawishi wa corruption kwenye shughuli za siasa, serikali, mashirika ya ya uma EPA, TANESCO, RADAR kwa mifano. Lakini pia ungetushawishi baadhi yetu tuamini absence ya curruption na impact yake kwenye maisha yetu ya kila siku.

Chadema CC haijatamka wala kudhibiti wabunge wake kwa kutoka wakati wa hotuba ya rais wa NEC labda utupe quotation au ushahidi toka CC ya CDM to that effect

What it means you are trying to mislead uniformed audience to believe in the worst unfair elections ever conducted in the country

What is going to happen is very simple:-


Tanzanians now know that CCM is their nr.1 culpit for all of their under development because of their zeal to cling to power. They will decide to continue with ccm or an alternative which can deliver them from this evil.


Chadema will go to the next elections from a position of strength compared to the position it founds itself in during the 2010 elections because 1. they have demonstrated that they can make and effect change (mwembeyanga mafisadi na uchaguzi 2010) 2 they are going to work hard on astrategy to get rid of CCM mischievious tricks. i.e they will be better organised and resourced.

You seem to know Chadema's "internal problems" and you do not wish to share with us at least to inform us so that we can understand you stand point. Chadema leadership is growing from strength after strength; as for underminers they will always be there but the Chadema cause will never weaver.

If you want Chadema to apologise, I assure you they will never, they do not have to, it is your choice to take their stand or leave it because I am sure they are on the right track. They should never think about apologising even to you because at the end it is a sign of weakness and capitulation for no reason.

They asked the people to support them, they got their support and they have a better perspective to serve their interest and they will continue to see to it that they are not letting a national course down.
 

Please as soon as possible find medical attension
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…