Monica Mgeni
Member
- Oct 7, 2021
- 82
- 134
No Fear no Hate.. Love forever
Kanda ya Serengeti wanatisha sana.Chadema Shy wameupiga mwingi.
Freshi tuMartin na kundi lake wamepokea bahasha
Chama makini. Chama chenye hoja za msingiM4C DAIMA....
Kutakuwa na mazungumzo baina ya Chadema, Ccm na Serikali✌✌✌👍👍👍
Safi Shinyanga.
YapHongera CDM, mshikamano huu uendelee hadi upatikanaji wa Katiba mpya. Mmepitia mengi ila mnaonyesha ukomavu mkubwa mno kisiasa. Kuvumiliana.
Martini na Maria bila vurugu za mtandao hawana kazi nyingine ya kufanya. Ni wahuni wenye husda na amani ya nchi hii. Ujuaji mwingi usiokuwa na tijaMartin na kundi lake wamepokea bahasha
Jambo Hilo ni jema ndani ya CDM na nje ya CDM, ni la KITAIFA.
Hongera CDM, mshikamano huu uendelee hadi upatikanaji wa Katiba mpya. Mmepitia mengi ila mnaonyesha ukomavu mkubwa mno kisiasa. Kuvumiliana.
CCM nao wameahidi kuachana wizi wa kura na kukimbia na mabox ya kura mchana mchana na kuzuia mawakala wa vyama vingine kuingia vituoni kwa muda uliopangwa - ambayo ndiyo yaliyosababisha vurugu na hata vifo... ni jambo jema kwa kweli. Tufike pahala tuheshimu sheria zetu wenyewe - kwa hili nawapongeza sana viongozi wakuu wa CCM.kwa kweli wanaelekea kukomaa
issue za kutishia vurugu sijui nchi kutotawalika wameachana nazo
kisiasa