CHADEMA semeni ukweli, hamna hela za kufanya mikutano!

Tu assume wapo broke kweli, ww unafaidika na nn kwa mfano au ndio zile mambo za adui muombee njaa
Si ni kawaida sasa hivi kila upande unauombea njaa upande wa pili? Husikii hadi mbowe alisema bungeni serikali imefilisika lkn anashangaa mpk leo analipwa mshahara kwa wakati.
 
Abdallah Bulembo anayefanya mikutano nchi nzima kutukana Ukawa ni mbunge wa jimbo gani?

Mwambie mtukufu wenu aruhusu na wengine uone
Sumaye aliyehudhuria mkutano wa wanachuo wa chadema mbeya juzi na kuhutubia ni mbunge wa wapi?
 
Hivi Bulembo ni mbunge wa Chato hadi aruhusiwe kufanya mikutano ya kisiasa huko?

Na tangu lini pesa ni kigezo cha kufanya mikutano?

OK ccm wanaendesha mikutano kwa pesa za walipa kodi
Sumaye mbunge wa wapi ameshiriki mkutano mbeya juzi? Hata ruzuku ya chadema ni kodi yetu.
 
Ahsante sana Mkuu JokaKuu. Nasikitika kusema kwamba kwenye uchaguzi wa 2020 kutakuwa na wizi mkubwa sana wa uchaguzi ili kuvimaliza vyama vya UKAWA.

Mikakati yote ya kuviua vyama vya UKAWA imeshindikana. Sasa mkakati wa MACCM ni kuvimaliza kupitia wizi wa kura 2020. Hivyo tusishangae kuona UKAWA 2020 haipati hata Wabunge 20 hata kama kutakuwa na mikakati mizuri kiasi gani Mkuu.

..OK.

..suppose hicho unachosema ni kweli.

..now, is chadema going to out up a fight or we they have already decided to surrender?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
shirikisha ubongo maigizo kila leo mlizuia mikutano ya nini

..ndugu yangu, tumeshalia sana kuhusu mikutano ya wazi kuzuiliwa.

..hakuna kitakachobadilika kabla ya 2020. CCM wana ikulu na super majoriry bungeni.

..tunachotakiwa kufanya ni kutafuta mbinu ili baada ya 2020 hali hiyo ibadilike.

..huu siyo wakati wa kukatishana tamaa na kutia unyonge.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
That is a million dollars question Mkuu and we won't be able to know the answer of this question until November/December 2020 kwenye majaliwa.

..OK.

..suppose hicho unachosema ni kweli.

..now, is chadema going to out up a fight or we they have already decided to surrender?
 
BAK,

..Katiba mpya haitakuja.

..Mikutano ya wazi imezuiwa.

..Sasa tujiulize: what options are available to cdm?

..Kwa maoni yangu CDM ielekeze nguvu zake ktk kufanya mikutano mingi ya ndani.

..CDM ijielekeze ktk kuwajenga kiuwezo viongozi wake ktk ngazi za kanda, mikoa, wilaya, jimbo, tarafa, etc.

..Mabadiliko tunayoyataka, mabadiliko ya katiba, ni almost impossible kuyapata bila ya kuwa na "leverage"ya kutosha mle bungeni.

..Bila kuwa na wabunge wa kutosha wanaoweza kuzuia miswada na sheria zisipite mle bungeni basi tusahau mabadiliko makubwa ya Katiba.

..Kwa hiyo kwa 2020 CDM wanatakiwa waje na mbinu na mikakati ya kushinda viti vingi zaidi vya ubunge.

..Na mbinu na mikakati hiyo inatakiwa ianze kufanyiwa kazi na kuboreshwa kuanzia sasa hivi.
Mikutano ya ndani ni effective ikitumiwa vema na kuendeshwa na watu sahihi. Kuzuia mikutano ya nje si tija, kama ulivyosema ile ya ndani ni ya kuwajengea uwezo wa kutoka siku watakapotaka wahusika waliozuia ya ndani

Kuhusu katiba, baada ya mchakato kwenda songo mbingo na hili Mbowe alielezwa ilibidi kuwe na mkakati
Tuliwaambia CDM haiwezekani CCM wakaongoza mchakato wasioutaka. Haikuwa katika ilani yao

Njia muafaka ilikuwa kutafuta 'barain chip' ambayo ni wabunge wengi. Katika hali isiyoeleweka mkakati ukabadilika na matokeo yake ndiyo hayo ya minority ndani ya bunge

Kwenda mbele, lazima kuwe na mkakati wa kuwa na wabunge watakaotumika kama karata. Hilo tu ndilo litawarudisha CCM mezani. Vinginevyo hata mchakato ukianza tena CDM watafanya makosa kuukubali

CCM haina nia njema na katiba kwasababu iliyopo inawapa uhuru wa kutenda watakavyo si kwa faida ya nchi bali kwa faida ya wao kuwa madarakani.
 
..exactly.

..hakuna matamko ya chama kuna matamko ya viongozi individually.

..pia walipaswa kuimarisha ngazi za kanda, mikoa, wilaya, etc.

..kwa mtizamo wangu Dr.Slaa alitimka kabla mfumo wa uongozi wa cdm haujakomaa. Sasa ilitakiwa anayefuatia aimarishe ule msingi uliowekwa na Dr.

..mikutano ya hadhara ina uzuri na ubaya wake.

..cdm ilikuwa inajaza umati wa watu ktk mikutano yao lakini ikija wakati wa uchaguzi matokeo siyo mazuri.

..kwa mtizamo wangu elimu inayotolewa kwa mikutano ya hadhara uwezekano mkubwa ni ya papo-kwa-papo / muda mfupi na hivyo haieleweki kwa walengwa.

..vilevile mikutano mikubwa ya viongozi toka makao makuu haiwajengei uwezo viongozi wa ngazi za chini.
Chama kinapaswa kuwafunda viongozi huko mikoani na wilayani waweze kufanya shughuli za chama na wasiwe wategemezi kwa makao makuu ktk kukijenga chama.

..pia huu ni wakati wa ku recruit vijana ktk chama. Mnyika, Heche, Waitara, Halima Mdee, ..by 2020 watakuwa tayari wako kundi la wazee.[/USER]
Mkuu inabidi ni 'quote' kama ilivyo. Kila mstari ni point nzirto

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Dr Slaa alikuwa effective as opposition leader. Ali exercise checks and balance kila mara na CDM ilikuwa active and ahead of game

Tatizo ililoponi kukosa watu wa kutenda hayo. Mwenyekiti anaonekana kutokuwa na mbinu zaidi
CDM wana hazina, lakini kuwa na resources bila kujua unazitumia vipi ni kazi bure

Ni muda kama wanataka wafanye uchaguzi ili kutoa nafasi kwa 'damu' mpya kuanza kuzoea mazingira ya real politics

Sidhani kama uongozi uliopo una mbinu tofauti tukijua ' ..teach an old dog new tricks'

Muhimu kwao ni kuwa katika political stage kila mara. Inaonekana hakuna watu wanaoweza kufanya kautafiti kuhusu hoja za CCM na serikali yake nakueleza mbadala.

Ni lazima waamke sasa si kusubiri last minute

Ili kuamka inawapasa waanze kufanya uchaguzi wajipange si kusubiri 'waliokatwa'
Kampeni za Urais na Wabunge zinahitaji kuanza mapema na kwa mkakati.
Waangalie wapi ni dhaifu wapi wanaweza, wapi wanahitaji nguvu na wapi walinde

Wasichojua ni kuwa out of sight out of mind na ndipo walipo sasa hivi.
Labda niulize katibu mkuu yupo wapi?
 
Acheni kusingizia eti katazo la kufanya Siasa, nani kamzuia Mnyika kufanya Mkutano wa Kisiasa Kibamba? Nani kamzuia Halima Mdee kuongea na Wapiga kura wake Kawe? Nani kamzuia Msigwa kuunguruma Iringa? Majibu ya maswali hayo ni hakuna, hivyo ukweli ni kwamba kinachowazuia ni ukata na wala siyo Serikali, you are broke, man, ...

Kufanya mkutano si pesa, mbona Hashim Rungwe alifanya
 
Back
Top Bottom