johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,947
- 141,922
Binafsi ningeviomba vyombo husika viwaache wanachama wa CHADEMA waendelee kumuombea mpendwa wao ambaye ni mwenyekiti wa chama chao mh Freeman Mbowe aliyeko mahabusu ukonga.
Kwetu Wakristo kuombea wagonjwa na wafungwa ni sehemu ya ibada.
Nakumbuka hayati Magufuli tulikuwa tukimuombea.
Mungu ni mwema wakati wote!
Kwetu Wakristo kuombea wagonjwa na wafungwa ni sehemu ya ibada.
Nakumbuka hayati Magufuli tulikuwa tukimuombea.
Mungu ni mwema wakati wote!