CHADEMA Pwani

nasdaz naungamkono bandiko lako hapo kwa mara ya kwanza naomba nikubaliane na wewe kuwa chadema bado haijafanya bidii ya kujitangaza huko na siku ikifanya hivyo naamini itakuwa na wafuasi tena wengi tu..

Hiyo ni ONE STEP FOWARD kwavile umeuona ukweli ambao wengine hawataki kuukubali!!!! Nakumbuka mwaka jana alikuja ndugu yangu kutoka bush (ndiko nilikosema ni miongoni mwa vijiji vikubwa kabisa).....dogo kila unachoongea nae ni CUF! CUF! CUF! kimsingi, hataki hata kuisikia hiyo CCM. Nikamuuliza kuhusu CDM, akasema hakuna kabisa CDM kule....kwakweli nilikuwa very disappointed. Na labda nikupe siri leo hii; wakati huo nilikuwa naifagilia sana CDM ingawaje kwa sasa lazima nikiri kwamba SIIPENDI!!!! Nikapata nafasi ya kwenda kule; nikayashuhudia kwa macho yangu niliyoambiwa na yule dogo; ikaniuma sana kwamba chama kama CDM hakipo kabisa kule. Nikaja hapa jamvini na kutoa angalizo ni namna gani CDM wanaweza kujitanua na maeneo mengine.....nilitumia maneno kwamba, POLITICS is almost like ujasiriamali; kwamba penye matatizo kuna political opportunity kwavile ni rahisi kuwaambia wananchi kwamba....mnaona hii, ni kwa sababu ya hawa watu!!!! Wasiopenda kukubali ukweli na kuamini ktk dhahania wakaishia kukandia kwamba watu wa pwani na kusini hawajasoma ndio maana hawajui chochote badala ya kujadili mada husika....nikaja kuwa completely disappointed pale Slaa alipoenda kwenye kampeni za urais.....alitumia just couple of hours kwa mikoa miwili; tena ni kama tu alienda kutoa lawama...hapo ndipo nikaja fahamu kwamba; ehee, kumbe jamaa (CDM) si wenzetu!!!! Huwezi kukaa pamoja na watu msioongea lugha moja, nikaamua kuchana na wana magwanda!!!!

 
Chadema makini sana data kama hizo ukiingia kwenye website yao utazikuta zote zipo

wao hawafichi kitu
 
wao ni ma hewala bwamkubwa. Hata shida zenyewe hawazijui isipokuwa uwanyime kucheza ngoma zao za kuozesha watoto. Hapo watakuwa wakali kuliko Chadema na si ajabu wakaanzisha chama chao ambacho kitakuwa ni maalumu kwa kutetea uchezaji ngoma uruhusiwe tena mfulilizo hadi mwezi mchana na usiku.
 
cdm kina ajenda ya siri ndio maana hakikubaliki kwa watu
 

unakataa kinachokukataa,wewe ulikuwa huna msaada wowote cdm,na kwa kukata tamaa kwa njia hata maisha yatakushnda
 
kaka kimsingi sisi watu wa pwani tumeweka sana kwapani udini na ukanda yaani ni bora apatikane mtu wa pwani asiyeelewa lolote awe mwakilishi wa kila kitu kuliko mtu wa bara mwenye upeo hili ni tatizo
 

pengo*katoliki; anampigia debe pinda,k.k.k.t wanampigia debe lowasa for2015 sasa chadema ni kanisa gan?..maana nnavojua mimi kanisa katoliki ni mshirika mkubwa wa ccm..rejea kauli za ask.kilain 2005...memorundum of as 92..lowasa na makanisa..sijui chadema walikuwepo?
 
hivi 2015 ccm wakiweka mgombea mkristo,ndugu zangu waislam mtapiga kwa chama gan?..lingine, mnadai mmetengwa na kunyanyaswa na serikali tangu uhuru,je serikali iliyowatenga ni ya chadema ee? Kweli kumtawala mpumbav ni rahic..elim ni ki2 cha msing sana
 
They a're so cheap to buy. Kibaba kimoja cha mchele atakuimba mwaka. Arusha mtu anataka ale nundu ya ng'ombe na bia nne kila siku utaweza/
 
mleta mada kauliza maswali ambayo nadhani anajua fika wana CHADEMA wa JF hawana majibu.

In short hawana stats za performance yao mwaka jana Pwani zingekuwepo wangezileta

stay tuned for conspiracy theories wakati watu bado wanasubiri data na stats
kwanini ukaangaike na vichwa vigumu wakati ukiwajumlisha wakazi sehemu zote ulizotaja ni sawa na wapiga kura wa jimbo moja yaani ubungo tu.
 

Pwani sio kanda, ni MKOA, na hizo ulizotaja ni WILAYA. Yenyewe iko KANDA ya mashariki pamoja na Dar, na Morogoro. CHADEMA ina nguvu sana KANDA ya Mashariki. Imeshinda ubunge katika majimbo ya Kibaha mjini (Pwani), Ubungo, Kawe, Segerea (Dsm), Ulanga Mashariki, Morogoro mjini (Morogoro).
 

Wallahi mie picha yako nikiitazama nabata ushungu wallahi, wapatikana wapi ww nikutafute ?

 
majimbo uliyoyataja sikuhizi wamejaa wachaga ... wenyeji wa pwani siasa uchwara za vurugu hawafagilii

nikweli majimbo hayo wameja wachaga na na makabila mengine ya kaskazini magharibi. ndomana cdm wameshinda.
 
Je wanatofautisha dini na siasa? And then wana elimu kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…