CHADEMA pumzi imekata!

Mnajipa moyo ninyi machawa wa UVCCM. Nendeni mkakimbize huo moto mnaouita mwenge, upumbavu mtupu, wezi wa kura ninyi na wala hamuwezi kujilinganisha na CHADEMA. Nendeni mkajifananishe na CHAUMMA washamba ninyi
 
Mnajipa moyo ninyi machawa wa UVCCM. Nendeni mkakimbize huo moto mnaouita mwenge, upumbavu mtupu, wezi wa kura ninyi na wala hamuwezi kujilinganisha na CHADEMA. Nendeni mkajifananishe na CHAUMMA washamba ninyi
Punguza hasira na mihemko, angalia uhalisia wa mambo.
 
mnasema imekata lkn mnapiga majungu ifutwe...mtaelewa tu
 
Umekaa seblen nyumban kwa mume wa dada yako unaandika usengerema huku umepakatwa, unajiona umeandika points kumbe unaonesha jinsi gani vijana wa lumumba mnashikishwa ukuta ili mpate vocha za kuja JF kuandika pumba
 
Umekaa seblen nyumban kwa mume wa dada yako unaandika usengerema huku umepakatwa, unajiona umeandika points kumbe unaonesha jinsi gani vijana wa lumumba mnashikishwa ukuta ili mpate vocha za kuja JF kuandika pumba
Punguza mihemko

CHADEMA imebakia kuwa kama mbwa asiye na meno kelele nyingi lakin hang'ati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…