field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,971
- 4,543
Mnajipa moyo ninyi machawa wa UVCCM. Nendeni mkakimbize huo moto mnaouita mwenge, upumbavu mtupu, wezi wa kura ninyi na wala hamuwezi kujilinganisha na CHADEMA. Nendeni mkajifananishe na CHAUMMA washamba ninyiCHADEMA pumzi imekata! Kwa sasa viongozi wa CHADEMA wameamua kwenda na upepo uliopo wa kisiasa nchini. Wamebaki kuwa motivational speakers kwenye majukwaa na kutupiana maneno tu na baadhi ya makada wa CCM bila hatua zozote za maana.
Sasa wananchi wanaonekana kuchanganyikiwa na hawaelewi hawa makada wa CHADEMA. Ujasiri wa kweli umebaki kwa Mwenyekiti wao, ambaye ameamua kupigania haki ya kweli bila kuuza roho yake kwa shetani.
Hawa viongozi wa CHADEMA hawana tena ujasiri wa kupambana na dola kama alivyokuwa akifanya Tundu Lissu; ni waoga wa kuitisha maandamano na waoga wa kuitwa Central.
BACK TO DEFAULT SETTINGS.
View attachment 3611871
SawaaMchumba punguza jazba yanazungumzika🙏🙏
Bora porojo za wahenga zina mafundisho kuliko poroja za wazandiki wanaojitoa ufahamu.porojo za wahenga zisikupumbaze sana gentleman,
jikite kwenye hoja na itapendeza zaidi
Haina faida!Hii ina faida gani kwa upande wako
OkHaina faida!
Dogo punguza hasira na mihemkoJinga jingine linalochelewesha maendeleo hili apa
Ni mchakato.Pumzi haikukata miezi 10 kilipofungiwa kufanya shughuli yoyote ya kisiasa , ndio ije ikate sasa?
Punguza hasira na mihemko, angalia uhalisia wa mambo.Mnajipa moyo ninyi machawa wa UVCCM. Nendeni mkakimbize huo moto mnaouita mwenge, upumbavu mtupu, wezi wa kura ninyi na wala hamuwezi kujilinganisha na CHADEMA. Nendeni mkajifananishe na CHAUMMA washamba ninyi
Mchakato ni nini?Ni mchakato.
mnasema imekata lkn mnapiga majungu ifutwe...mtaelewa tuCHADEMA pumzi imekata! Kwa sasa viongozi wa CHADEMA wameamua kwenda na upepo uliopo wa kisiasa nchini. Wamebaki kuwa motivational speakers kwenye majukwaa na kutupiana maneno tu na baadhi ya makada wa CCM bila hatua zozote za maana.
Sasa wananchi wanaonekana kuchanganyikiwa na hawaelewi hawa makada wa CHADEMA. Ujasiri wa kweli umebaki kwa Mwenyekiti wao, ambaye ameamua kupigania haki ya kweli bila kuuza roho yake kwa shetani.
Hawa viongozi wa CHADEMA hawana tena ujasiri wa kupambana na dola kama alivyokuwa akifanya Tundu Lissu; ni waoga wa kuitisha maandamano na waoga wa kuitwa Central.
BACK TO DEFAULT SETTINGS.
View attachment 3611871
Sio kweli
ProcessMchakato ni nini?
Nitoe kwenye hao "mnasema".mnasema imekata lkn mnapiga majungu ifutwe...mtaelewa tu
Process ina end product na end product ya CHADEMA kuishiwa pumzi ni ipi na itachukua muda gani?Process
Punguza mihemkoUmekaa seblen nyumban kwa mume wa dada yako unaandika usengerema huku umepakatwa, unajiona umeandika points kumbe unaonesha jinsi gani vijana wa lumumba mnashikishwa ukuta ili mpate vocha za kuja JF kuandika pumba
Inaonekana unapenda kupigwa dog stylePunguza mihemko
CHADEMA imebakia kuwa kama mbwa asiye na meno kelele nyingi lakin hang'ati.
Wewe ni taahira.Inaonekana unapenda kupigwa dog style