Lavie
Member
- Apr 3, 2012
- 60
- 15
Nawashauri Chadema waje wafanye operesheni okoa Tabora, mkoa huu unahitaji elimu sana ya uraia, Magamba yamejikita sana Tabora wakati maendeleo ni duni sana. Nawaomba viongozi wa operesheni za Chadema litazameni hili kwa umakini sana mje muwaokoe wanyamwezi. Yani Mkoa wote Magamba-CCM wanajitanua kama virusi vya ukimwi kwenye mwili wa mwanadam. Chukueni hatua tafadhali.