TURUFUDUME
Member
- Dec 14, 2014
- 70
- 39
CHADEMA kinaendelea kujifanya Mungu mtu ndani ya UKAWA, hii imetokana na chama hicho kulazimisha lazima kiwaburuze vyama vyengine ndani ya UKAWA, hii imekuja baada ya CHADEMA kutaka kitoe rais na wabunge wengi jambo lililopingwa na vyama vyengine ambavyo vimetaka aidha CHADEMA watowe rais na makamu wake au kitowe wabunge wengi ili kije kitoe waziri mkuu, jambo lililoungwa mkono na vyama vyote ambavo vimetaka magawanyo kati ya CHADEMA na Cuf, CUF watowe rais na makamo wake, CHADEMAa kitoe wabunge wengi ili kijekitoe waziri mkuu, au kinyume chake, ambapo CUF wapo tayari kwa hilo lakini CHADEMA hawako tayari wanataka waachiwe vyote, jambo ambalo limepingwa na vyama vyote.
Swali: Je, viongozi wa CHADEMA na wafuasi wake hio ni haki?
MZEE WAKENGEJA Pemba .
Swali: Je, viongozi wa CHADEMA na wafuasi wake hio ni haki?
MZEE WAKENGEJA Pemba .