Ni lini CHADEMA wametangaza kumuunga mkono Odinga au Kenyata au CCM wametangaza lini mbona mnapenda kuzusha mambo na kujiingiza kwenye siasa za watu.....mambo ya kenya waachieni wakenya wenyewe mara huyu hivi yule vilee Watanzania bana ya kwenu yamewashinda mnaanza umbea
........
Uhuru ana mtazamo unaofanania sera za chadema
kukuza uchumi kwa ushirikishwaji wananchi kuanzia mashinani
......
John Pombe Magufuli alikwenda kuzindua kampeni za Odinga na kumpigia debe, je ndani ya CCM yuko katika nafasi gani? Je ni hatua zipi za kinidhamu anastahili kuchukuliwa na CCM?!
......
unaendelea kuomba?Tuombe Mungu, Odinga atashinda tu
Hivi Magufuli yuko CHADEMA?
.......
Ni ukweli usiotiliwa shaka kuwa CCM inainjinia uchaguzi wa Kenya, na ipo upande wa Uhuru mmoja wa wagombea urais wa Kenya.
Vivyo hivyo chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA, kimejikita katika siasa za kimataifa kwa hapo Kenya huku karata yake kikiitupa miguuni mwa Raila Odinga mmoja wa wagombea anaepewa nafasi kubw ya kushinda kupitia muungano wa vyam ndugu.
Vita hii tunaiangaza kama ni yamapambano ya CHADEMA na CCM kuelekea 2015 hasa kila mmoja akisafisha njia ya kuungwa mkono kumataifa.
Ikiwa ni hivyo tayari ccm na CHADEMA kila mmoja ashashinda kete moja moja, kwanza ni CHADEMA Zambia kwa bwana Satta, na CCM Congo kwa kijana Kabila ambako dhahiri utawala unakula huku umeshikilia sahani mkononi kwani hakuna tumaini la kuweka mezani chakula chini ya M23.
Je ni CHADEMA (Odinga) ama CCM (Uhuru)
Karata yangu naitua kwa CHADEMA.
......
unatuuliza sisi au Magufuri? inawezekana ata wewe huna niya thabiti na chama chako. bendela fata upepo
Mwai tena!!,hiyo ya kuungwa mkono kivyama ni porojo tu
Duh..!!Chadema siwawezi mshaanza kujirudisha polepole kwa uhuru..
Sasa kama siasa ya Uhuru ni sawa na ya Chadema iweje mkamkampenia Kibaki?au mlipoona mikutano yake inajaza watu mkadhani ndo ameshapita?.
The problem with you guys ni kwamba hamfahamu hapa Afrika kuwa mpinzani anakuwa mwenza wako kabla hajaingia madarakani na akishaingia si mwenzako tena bali ni mwenza wa hasimu wako....!! Hata kama Raila yupo damudamu na CHADEMA, unazani ataendelea kuwa hivyo akishaingia madarakani ili ajiingize kwenye mgogoro na serikali ya CCM?! Katika Afrika, serikali ya nchi moja ku-support oppostion of neighboring country(in any way), will always create diplomatic conflict btn the countries! Hakuna nchi Afrika ambae inaweza kukaribisha jambo kama hilo unless hizo nchi tayari ziwe tayari zina mgogoro kati yao. So, to kuct story short, leo hii Raila akishinda, nyie mwenza wenu ni Uhuru and no longer Raila...open your eyes!
CCM ni makini sana, wala hawakutamka kuhusu uungaji mkono kwa mgombea yeyote; CHADEMA kutokana na kukosa ukomavu na busara wamejiingiza kichwa kichwa kumuunga mkono ODINGA, jioni ya leo watakula jeuri yao na kupata pigo la kisiasa tukielekea uchaguzi 2014 na 2015
Thread hii ni sawa na watoto wamekaa pembeni ya barabara wantambishiana magari yanayopita," gari hii ya kwangu ona inavyokimbia".