chadema noma

chadema noma

Joined
May 15, 2013
Posts
14
Reaction score
2
Nilifikiri Chadema Wakorofi Bungeni tu! Kumbe hata Hotelini..! Jana Wakiwa wanakula! akaanza (Wenje) Mwongozo wa Hotel, chumvi haitoshi..Mnyika: Taarifa Mheshimiwa! Mchuzi unaonekana wa Jana siungi Mkono Hoja ya Kulipa Chakula hiki.Tundu Lisu: kanuni ya 17b kifungu cha 1,C Niliagiza kuku wa kienyeji Nimeletewa kuku wa kisasa silipi,,Zito: Tume iundwe kuchunguza kama kweli mchele huu ni wa Mbeya..!Duuh! Chezea CHADEMA wewe
 
Haha achana nao ni noma hao ni zaidi ya uwajuavyo

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom