CHADEMA njia ya mabadiliko tuyatakayo

Nanyaro Ephata

JF-Expert Member
Jan 22, 2011
1,221
1,788
Nimeandika mara kadhaa kuwa ccm ni marehemu,kuwa chama kinachoitwa ccm ni mfu kilikufa ikazikwa,hakipo.Tunajua kuwa chama cha siasa ni imani(itikadi) leo wanaccm hawajui imani yao maana haipo na haipo kwa kuwa chama kimekufa!

Bahati mbaya ccm wanafikiri watafufuka kwa kuiua CHADEMA,yaani kipaumbele cha wanaccm ni kuiua CHADEMA,wakati Taifa letu linakabiliwa na changamoto nyingi za kiuchumi,kisiasa na kijamii,wakati tunapata uhuru Mwl Nyerere alitangaza maadui wa Taifa kuwa ni Ujinga,maradhi na Umaskini,maadui hawa wangalipo miaka zaidi ya 50 ya uhuru! Kilichokufa hakiwezi kamwe kuua kilicho hai

Nguvu kubwa ambayo inatumiwa na serikali kupambana na CHADEMA ingetumiwa hata robo yake tu kupambana na ujinga,maradhi na umasikini hakika nchi yetu ingepiga hatua kubwa mbele! Na kama CHADEMA ni dhaifu kwa nini nguvu kubwa inatumika kupambana na chama dhaifu?pamoja na masahibu makubwa wanayopitia viongozi wa chama na wanachama wetu nchi nzima bado fikra za mabadiliko zimeendelea kukua!hii mbegu ya mabadiliko ndani ya Watanzania haiwezi kufutwa au kuuwawa na yeyote yule

*Mabadiliko ni lazima na chadema ndio njia ya mabadiliko*

Ni aibu kubwa kwa watawala kuwa wanapoteza rasilimali kubwa,wameshindwa kusoma alama za nyakati,wanajidanganya kuwa wataweza kuzuia nguvu ya mabadiliko,bahati mbaya wanaamka kipindi ambacho tayari mbegu imeshaota,mbegu imeenea nchini kote,kuanzia mijini na vijijini kamwe hakuna awezaye kuzuia!

Hata sasa watashindwa kama walivoshindwa huko nyuma,propaganda kuwa CHADEMA ni chama cha Kaskazini ilishindwa..Propaganda kuwa ni chama cha Kikanda ilishindwa vibaya sana,na nyingine nyingi hata sasa watashindwa tena kwa kuwa CHADEMA tulianza na Mungu,tunaendelea na Mungu na Tutamaliza na Mungu.Mungu wetu ni mkuu asiyefananishwa na lolote,Mungu mwenye wivu mwingi! Kwamba mgombea wa CHADEMA hatotangazwa tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1994 huko Kigoma hadi leo hakuna mgombea wa upinzani aliyetangazwa kwa hisani ya ccm na mawakala wao!tumeshinda kwa kuwa tulitumia peoples power ambayo ndio falsafa yetu kuu

Wakati Goliati akimtazama kijana mdogo Daudi kwa dharau kubwa,kwa upande wa Daud aliona ukubwa wa Goliati kama fursa kubwa ya urahisi wa kulenga shabaha!

We have God we have the power


Nanyaro EJ
Mwenyekiti-Arusha Mjini
 
Chama cha siasa ni watu, chama cha siasa sio kutegemea nguvu ya dola kuendelea kubaki madarakani.

Hili hata wao wanalifahamu vizuri tu, kusema CCM ilikufa, maana yake ilishakufa kweli, kilichobaki leo ni msaada wa polisi wanaoupata ndio unawafanya wasikike.
 
Nimeandika mara kadhaa kuwa ccm ni marehemu,kuwa chama kinachoitwa ccm ni mfu kilikufa ikazikwa,hakipo.Tunajua kuwa chama cha siasa ni imani(itikadi) leo wanaccm hawajui imani yao maana haipo na haipo kwa kuwa chama kimekufa!


Bahati mbaya ccm wanafikiri watafufuka kwa kuiua CHADEMA,yaani kipaumbele cha wanaccm ni kuiua CHADEMA,wakati Taifa letu linakabiliwa na changamoto nyingi za kiuchumi,kisiasa na kijamii,wakati tunapata uhuru Mwl Nyerere alitangaza maadui wa Taifa kuwa ni Ujinga,maradhi na Umaskini,maadui hawa wangalipo miaka zaidi ya 50 ya uhuru! Kilichokufa hakiwezi kamwe kuua kilicho hai


Nguvu kubwa ambayo inatumiwa na serikali kupambana na CHADEMA ingetumiwa hata robo yake tu kupambana na ujinga,maradhi na umasikini hakika nchi yetu ingepiga hatua kubwa mbele! Na kama CHADEMA ni dhaifu kwa nini nguvu kubwa inatumika kupambana na chama dhaifu?pamoja na masahibu makubwa wanayopitia viongozi wa chama na wanachama wetu nchi nzima bado fikra za mabadiliko zimeendelea kukua!hii mbegu ya mabadiliko ndani ya Watanzania haiwezi kufutwa au kuuwawa na yeyote yule


*Mabadiliko ni lazima na chadema ndio njia ya mabadiliko*


Ni aibu kubwa kwa watawala kuwa wanapoteza rasilimali kubwa,wameshindwa kusoma alama za nyakati,wanajidanganya kuwa wataweza kuzuia nguvu ya mabadiliko,bahati mbaya wanaamka kipindi ambacho tayari mbegu imeshaota,mbegu imeenea nchini kote,kuanzia mijini na vijijini kamwe hakuna awezaye kuzuia!
Hata sasa watashindwa kama walivoshindwa huko nyuma,propaganda kuwa CHADEMA ni chama cha Kaskazini ilishindwa..Propaganda kuwa ni chama cha Kikanda ilishindwa vibaya sana,na nyingine nyingi hata sasa watashindwa tena kwa kuwa CHADEMA tulianza na Mungu,tunaendelea na Mungu na Tutamaliza na Mungu.Mungu wetu ni mkuu asiyefananishwa na lolote,Mungu mwenye wivu mwingi! Kwamba mgombea wa CHADEMA hatotangazwa tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1994 huko Kigoma hadi leo hakuna mgombea wa upinzani aliyetangazwa kwa hisani ya ccm na mawakala wao!tumeshinda kwa kuwa tulitumia peoples power ambayo ndio falsafa yetu kuu


Wakati Goliati akimtazama kijana mdogo Daudi kwa dharau kubwa,kwa upande wa Daud aliona ukubwa wa Goliati kama fursa kubwa ya urahisi wa kulenga shabaha!


We have God we have the power


Nanyaro EJ
Mwenyekiti-Arusha Mjini
wahi ufipa ukachukua elf 2 ya bando uliyoahidiwa ukiandika utopolo
 
Chama cha siasa ni watu, chama cha siasa sio kutegemea nguvu ya dola kuendelea kubaki madarakani.

Hili hata wao wanalifahamu vizuri tu, kusema CCM ilikufa, maana yake ilishakufa kweli, kilichobaki leo ni msaada wa polisi wanaoupata ndio unawafanya wasikike.
Kilichopo ni genge la kihalifu linalotumia mabavu ya dola kutawala
 
Mkuu #Nanyaro heshima nyingi kwako.

Ulichoandika ndio ukweli uliopo, Ccm kama chama cha siasa kimeshajimaliza na ukweli hakipo na ndio maana hakiwezi fanya kazi ya siasa.

Kilichobakia kwa sasa ni Mwenyekiti wa Ccm John Magufuli, na ndio maana kila kitu na kila nyimbo wanayoimba lazima wamtaje Magufuli.

Mwenyekiti wao ndio chama Chao kina Polepole wanatia huruma sana kwani sauti yao haisikiki, haifiki popote na hawana cha kufanya.

Mwenyekiti wao anajua kuwa ccm haipo na ndio maana jina lake hutumika pahali ambapo ccm ilipaswa kutamkwa.
Mf:- Serikali ya Magufuli na sio Serikali ya Ccm.

Sasa hivi wabunge na Spika wanaomba Rais Magufuli atawale milele sababu wanajua Ccm haipo na wao wamening'inia kwenye mkono wa Magufuli.

Ninachofurahi ni kwamba Chadema ni mpango wa Mungu, na Chama hiki kinamwitaji kila mwanachama na kila Mtanzania ila Chadema hakimtegemei mtu yoyote yule, CHADEMA HUMTEGEMEA MUNGU. Hivyo kama unataka kukimaliza hiki chama pambana kwanza na tegemezi lake, haa.... haaa... haaaaaaaa!!!

October mwaka huu MUNGU anao mpango na ukitaka kuujua mpango wa Mungu subiri wakati wa Bwana ufike ila kila jambo lifunuliwe. Na wakati ukifika hakuna JIWE LITAKALOSALIA JUU YA JIWE JINGINE.
Nasisitiza wakati wa bwana unakuja na JIWE lazima liangushwe
 
Mbona mnaweweseka,CCM ipi iliyokufa ni ipi?

KONYAGI imeleta balaa, chama kimeyumba shauri ya mwenyekiti kung'ang'ania ushauri wa mademu duh!
 
Nimeandika mara kadhaa kuwa ccm ni marehemu,kuwa chama kinachoitwa ccm ni mfu kilikufa ikazikwa,hakipo.Tunajua kuwa chama cha siasa ni imani(itikadi) leo wanaccm hawajui imani yao maana haipo na haipo kwa kuwa chama kimekufa!

Bahati mbaya ccm wanafikiri watafufuka kwa kuiua CHADEMA,yaani kipaumbele cha wanaccm ni kuiua CHADEMA,wakati Taifa letu linakabiliwa na changamoto nyingi za kiuchumi,kisiasa na kijamii,wakati tunapata uhuru Mwl Nyerere alitangaza maadui wa Taifa kuwa ni Ujinga,maradhi na Umaskini,maadui hawa wangalipo miaka zaidi ya 50 ya uhuru! Kilichokufa hakiwezi kamwe kuua kilicho hai

Nguvu kubwa ambayo inatumiwa na serikali kupambana na CHADEMA ingetumiwa hata robo yake tu kupambana na ujinga,maradhi na umasikini hakika nchi yetu ingepiga hatua kubwa mbele! Na kama CHADEMA ni dhaifu kwa nini nguvu kubwa inatumika kupambana na chama dhaifu?pamoja na masahibu makubwa wanayopitia viongozi wa chama na wanachama wetu nchi nzima bado fikra za mabadiliko zimeendelea kukua!hii mbegu ya mabadiliko ndani ya Watanzania haiwezi kufutwa au kuuwawa na yeyote yule

*Mabadiliko ni lazima na chadema ndio njia ya mabadiliko*

Ni aibu kubwa kwa watawala kuwa wanapoteza rasilimali kubwa,wameshindwa kusoma alama za nyakati,wanajidanganya kuwa wataweza kuzuia nguvu ya mabadiliko,bahati mbaya wanaamka kipindi ambacho tayari mbegu imeshaota,mbegu imeenea nchini kote,kuanzia mijini na vijijini kamwe hakuna awezaye kuzuia!

Hata sasa watashindwa kama walivoshindwa huko nyuma,propaganda kuwa CHADEMA ni chama cha Kaskazini ilishindwa..Propaganda kuwa ni chama cha Kikanda ilishindwa vibaya sana,na nyingine nyingi hata sasa watashindwa tena kwa kuwa CHADEMA tulianza na Mungu,tunaendelea na Mungu na Tutamaliza na Mungu.Mungu wetu ni mkuu asiyefananishwa na lolote,Mungu mwenye wivu mwingi! Kwamba mgombea wa CHADEMA hatotangazwa tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1994 huko Kigoma hadi leo hakuna mgombea wa upinzani aliyetangazwa kwa hisani ya ccm na mawakala wao!tumeshinda kwa kuwa tulitumia peoples power ambayo ndio falsafa yetu kuu

Wakati Goliati akimtazama kijana mdogo Daudi kwa dharau kubwa,kwa upande wa Daud aliona ukubwa wa Goliati kama fursa kubwa ya urahisi wa kulenga shabaha!

We have God we have the power


Nanyaro EJ
Mwenyekiti-Arusha Mjini
Ngoma ya ccm inalia sana na inakaribia kupasuka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom