cleva genius
Member
- Jul 20, 2015
- 34
- 12
yaan uwe na imani usiwe na imani chadema ndo hiyoooo..... mwendo mdundo, halafu we mmoja nini? wakat maelfu yanakuja vile vile hata ukiipigia kura chadema lazma kura yako itaharibika, kitu kingine chama kinaongozwa na katiba ya chama kwahyo katiba ikiwa mbovu ya kulindana wote mtakuwa wabovu, mwisho kabisa kimwingicho mtu sio najisi bali kimtokacho.....