Najua hili ni suala la kimataifa lakini kuna kila sababu ya kutoka msimamo dhidi ya serikali yetu kupitia wizara yake ya mambo ya nchi za nje kwa kushindwa kutoa tamko la kulaani matendo yale mabaya binadamu wenzetu ya kuchomwa motto wakiwa hai ni unyama wa kiasi gani?
Membe akiwa kama waziri wa mambo ya nje ambaye kwa maoni yangu He is most incompetent foreign minister ever in the history our country inabidi kumtolea tamko la kulaani kitendo chake cha kushindwa kutoa statenmnt yoyote under humanitarian reasons.
CHADEMA should hold the minister accountable for putting his political carrier above our fellow human being.
Membe akiwa kama waziri wa mambo ya nje ambaye kwa maoni yangu He is most incompetent foreign minister ever in the history our country inabidi kumtolea tamko la kulaani kitendo chake cha kushindwa kutoa statenmnt yoyote under humanitarian reasons.
CHADEMA should hold the minister accountable for putting his political carrier above our fellow human being.