majata
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 431
- 179
Wanajamvi, pamoja na kwamba ,mimi binafsi navutiwa na chadema lakini bado natishwa namna umakini katika kukiimarisha chama.
Chadema kimekuwa kikionyesha umakini katika mambo yale yanayovuma kama kupigia kelele makosa ya wapinzani wao, lakini bado chadema kinadalili zilezile za wapinzani, mfano ni usiri wa matumizi ya ruzuku za chama na uduni wa ofisi za chama mikoani.
Inasikitisha kusikia watu wakijikopesha mapesa wajenge majumba kwa pesa za kuendeshea chama wakati kunamikoa haina hata ofisi, yaliyokipata cuf nifunzo kwa vyama vingine kuhusu ni vitugani vitangulizwe, kama vipaumbele vya chama visipowekwa mbele chadema kitapoteza mvuto kabisa.
Chadema kimekuwa kikionyesha umakini katika mambo yale yanayovuma kama kupigia kelele makosa ya wapinzani wao, lakini bado chadema kinadalili zilezile za wapinzani, mfano ni usiri wa matumizi ya ruzuku za chama na uduni wa ofisi za chama mikoani.
Inasikitisha kusikia watu wakijikopesha mapesa wajenge majumba kwa pesa za kuendeshea chama wakati kunamikoa haina hata ofisi, yaliyokipata cuf nifunzo kwa vyama vingine kuhusu ni vitugani vitangulizwe, kama vipaumbele vya chama visipowekwa mbele chadema kitapoteza mvuto kabisa.