Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,182
- 2,021
Viongozi wetu wa CHADEMA wanaishi kwa ulaghai, udanganyifu, uongo na unafiki.
Mmewashawishi "bendera yafuata upepo" wa CUF na NCCR mageuzi(UKAWA) ili mjifanye wasafi.
Kumbukeni katiba si yenu peke yenu ni yetu wote, inakuwaje mnalazimisha mhodhi mchakato wote na kulazimisha hoja badala ya kujadili hoja?
Mmelamba pesa zetu za kodi na bado wiki moja kwisha kwa bunge ndo mnajifanya kususia bunge?
Rudisheni pesa zote mlizochukua ndipo mjitoe hapo tutawaelewa.
Tunaminywa kwa kodi ya ongezeko la thamani, tunanunua sabuni elfu 1, sukari elfu 2 per kg, tunanunua baiskeli laki na 20. Ili mpate posho zenu halafu mnaleta mzaha?
Hakika kwa hili CHADEMA mmewadanganya wenzenu, sitoona taabu kuwaita waongo, wanafiki, na mnaishi kwa ujanjaujanja na utapeli kwa kukwapua kodi zetu.
Mmechelewa sana kujitoa pale mwanzoni, sasa maandamano yenu yana tija gani? Ndo yataleta katiba mpya?
Hizo ni siasa za kitoto.
Mmenikwaza sana CHADEMA kwa hili nimejikuta natumia hadi maneno makali.
Alamsiki!!!!!!
Shukrani a. Ngonyani.
0754 50 98 69
ngonyanishukuru@gmail.com
Mmewashawishi "bendera yafuata upepo" wa CUF na NCCR mageuzi(UKAWA) ili mjifanye wasafi.
Kumbukeni katiba si yenu peke yenu ni yetu wote, inakuwaje mnalazimisha mhodhi mchakato wote na kulazimisha hoja badala ya kujadili hoja?
Mmelamba pesa zetu za kodi na bado wiki moja kwisha kwa bunge ndo mnajifanya kususia bunge?
Rudisheni pesa zote mlizochukua ndipo mjitoe hapo tutawaelewa.
Tunaminywa kwa kodi ya ongezeko la thamani, tunanunua sabuni elfu 1, sukari elfu 2 per kg, tunanunua baiskeli laki na 20. Ili mpate posho zenu halafu mnaleta mzaha?
Hakika kwa hili CHADEMA mmewadanganya wenzenu, sitoona taabu kuwaita waongo, wanafiki, na mnaishi kwa ujanjaujanja na utapeli kwa kukwapua kodi zetu.
Mmechelewa sana kujitoa pale mwanzoni, sasa maandamano yenu yana tija gani? Ndo yataleta katiba mpya?
Hizo ni siasa za kitoto.
Mmenikwaza sana CHADEMA kwa hili nimejikuta natumia hadi maneno makali.
Alamsiki!!!!!!
Shukrani a. Ngonyani.
0754 50 98 69
ngonyanishukuru@gmail.com