TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
WAKUU.
kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikilinganisha mienendo ya chama kikuu cha upinzani hapa bongo CHADEMA na chama tawala CCM katika nyanja mbalimbali kama vile utawala, fedha ,rasilimali, usimamizi wa mali na nyinginezo na kugundua kuwa chama hiki ni bomu ambalo saa yoyote linalipuka.
viongozi wake ni waoga mno kufanya maamuzi kiasi cha kufikia kukaa bila hata ya uongozi wa vijana-BAVICHA na kuwaacha UV-CCM wakitakata peke yao.
ninasema sawa na CCM kwasababu wanaendesha shuguli zao kwa majungu na fitna.
mfano walimfukuza KAFULILA wakamwita sisimizi akaenda NCCR akawashinda KAMA AMBAVYO ccm WALIVYOMKATAA shibuda NA KWENDA chadema akashinda.
SIKU WATANZANIA WAKIIJUA CHADEMA YA UKWELI NDIO MWISHO WA UPINZANI.
kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikilinganisha mienendo ya chama kikuu cha upinzani hapa bongo CHADEMA na chama tawala CCM katika nyanja mbalimbali kama vile utawala, fedha ,rasilimali, usimamizi wa mali na nyinginezo na kugundua kuwa chama hiki ni bomu ambalo saa yoyote linalipuka.
viongozi wake ni waoga mno kufanya maamuzi kiasi cha kufikia kukaa bila hata ya uongozi wa vijana-BAVICHA na kuwaacha UV-CCM wakitakata peke yao.
ninasema sawa na CCM kwasababu wanaendesha shuguli zao kwa majungu na fitna.
mfano walimfukuza KAFULILA wakamwita sisimizi akaenda NCCR akawashinda KAMA AMBAVYO ccm WALIVYOMKATAA shibuda NA KWENDA chadema akashinda.
SIKU WATANZANIA WAKIIJUA CHADEMA YA UKWELI NDIO MWISHO WA UPINZANI.