Kagemro
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 1,433
- 633
Kaimu Katibu Mkuu wa CUF, Jurius Mtatiro amesema Chadema ni wachawi wa upinzani Tanzania, tena ni vigeugeu wakubwa watu wa propoganda kila siku wanaumiza vichwa vyao jinsi gani watawauwa CUF; wanaeneza propoganda CUF wamaeungana na CCM hawawezi kushirikiana nao wakati huo huo Chadema wanachukuwa pesa kutoka kwa kada wa CCM SABODO, ni sawa sawa kusema utaki kula nyama ya nguruwe lakini supu yake unakunywa.
MLIMANI TV
Kweli Mtatiro amelogwa mpaka kwenye ubongo.Kwani Chadema walienda kumtafuta Sabodo?ulishasikia wanamtafuta mfadhili yeyote ama watu wanatamani kuwasaidia na kushiriki nao.