CHADEMA ni "professional"


HAMIS ni mtu wa kiwango cha chini sana !
 
mmh!! we nae ndugu yangu nakuwa na wasiwasi na kufikiri kwako, au na wewe ni wale wale mlio mezeshwa point, muungano utavunjika na gharama bila kutoa points za kutetea hoja?

kwanini muungano uvunjike? kwani serikali tatu ndo zinavunja muungano? we vipi! by the way kwani muungano ni nini? watanzania wakiamua uvunjike utashikilia fikra za m/kiti? hebu kabla ya kuandika chunguza kwanza hoja unayo taka kupost si kutuletea matapishi hapa
 
Yametimia.Sasa Baraza la Mawaziri Vivuli kuwajumuisha CUF na NCCR-Mageuzi
 

umeandika kwa weledi wa kiwango cha juu sana ! Bila kumung'unya maneno wewe ni mzalendo .
 
Usicheke Kaka tunaenda kubaya,maana sijui 2015 wenyenchi yao watatupatia akina nani,maana ndiyo wenyenchiyao na wanamaamuzi ya nani awe kiongozi.

nacheka kwa huzuni sana mkuu .
 
nacheka kwa huzuni sana mkuu .

Pole,ila wazee wanasema chenye mwanzo hakikosi mwisho.Nitawalaumu waandishi wa habari na wanasheria mpaka siku yangu ya kufa,maana hawatumii elimu yao waliyoisomea kwa ajili ya jamii yao.
 
Napoona mtu anasifia na kushabikia wauwaji natamani kumchapa viboko. Chadema imemwagia watu tindikali, imelisha watu sumu, imelipua watu kwa mabomu, leo unatuletea siasa uchwara hapa

Una ushahidi Unaothibitika pasipo shaka yoyote?
 
Ujio wa UKAWA lazima umuumize kila mwana CCM!!! for sure if this goes well, basi CCM habari yenu imeshakwisha.

Imefikia hatua CCM sasa haipambani na DR.Slaa na Mbowe kama tulivyokuwa tumezoea, bali sasa inapambana na CUF, CDM na NCCR Mageuzi kwa umoja wao.

Wigo wa mpambano umepanuka sana kiasi ni vigumu mno CCM kupenyeza zile sera zake za kibaguzi za udini, ukanda, ukabila kama walivyokuwa wamezoea kwani hazitafua dafu tena. Na mbaya zaidi CCM hwakujiandaa kwa jambo hili - kwa kweli ni counter attack!! na kama kweli UKAWA wakitulia pamoja basi tutegemee mageuzi makubwa 2015 ya uongozi wa nchi yetu, sababu hakutakuwa na njia nyingine ya hawa CCM kupita salama.

Siasa sasa inalete mvuto - Asante CCM kutuletea mchakato wa katiba mpya kwani umewaunganisha hata wale waliokuwa hawawezi kukaa meza moja na kupanga mipango ya ushindi.
 
Bila Ukawa kuwa imara na Madhubuti Watanzania tutegemee kupata Katiba Mbovu Yenye Sura ya kifisadi, Yenye umbile la Rushwa na Ngozi yenye Magamba. Tunawaombea Ukawa mkaze buti mpaka kieleweke bila ukawa hakuna katiba bora
 
Ujue nakushangaa sana ,,wewe jimbo mnalo 50years sisi wageni hapo angalia kura tulizopata then angalia variations na zenu ,akili ndogo think big><<eti chopa 3 kata 3 bonge la ushindii...si kata zilikuwa zenu your loser forget sake!!
hebu tizama kama una akili kamili watu waliojiandikisha kalenga na waliopiga kura??angalia chalinze out of 90..walipiiga 20 not making sense ...hakuna ushindi hapo 50year jimbo lenu na watu hawawakubali tena mnaforce sana...
naelewa ukiwa ccm hata km unakuwa na akili unaburuzwa tu its like in reform of constitution mlivyo pelekwa pelekwa ....ujigaaaaaaaaaaa!!!!!!!!mwalimu say!!!
 

hii hoja yako ni mufilisi na inaonekana kichwa chako ni kifuu cha nazi--hamna kitu. umekaririshwa vibaya na magamba. nani anataka kuvunja muungano? huyo anayetaka kuuvunja amependekeza serikali ngapi? na je, zanzibar kuwa nchi bado muungano haujavunjika? a notorious twit at work!
 
- Muungano unatakiwa kurekebishwa sio kuuvunja kisa hamjawahi kupata kura Zanzibar ni wabaguzi wakubwa na wabinafsi wakubwa, kila uchaguzi mnashindwa halafu sasa kati kati ya mchezo mnataka kuhamisha magoli ili mshinde tu uchaguzi hatawezekana,

es

usipayuke tu kama chizi. hebu fafanua namna huo muungano unavyovunjwa. usiseme tu kwamba muungano bila kuonyesha njia unaonekana mwehu na mchumia tumbo tu!
 
Chopa 3 kata 3

sasa hii hoja inahusianaje na kata tatu? kama huna cha kujibu si ubora ukae kimya? mods hebu wafungie wapuuzi kama huyu wanatujazia uchafu kwenye server bure!
 
Zitto ataondolewa CHADEMA kikatiba kufuata matakwa ya Katiba yao. Kinasubiriwa kikao cha Mei kinote kilichotookea na kupelekwa taarifa kunakotakiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…