Chadema ni Chama cha neglected society

Chadema ni Chama cha neglected society

Kwa miaka ya karibuni na kuendelea ccm imekataliwa kbs na wananchi walio wengi, inajaribu kufosi tu ionekane bado ipo ipo....ikitokea kunafanyika uchaguzi wowote ule wa wazi na huru ccm ndio kwaheri!.
Na ndio maana ccm ya sasa hv inapiganiwa sana na dola ili isavaivu kimabavu!.
 
chama dola kimechemka mbele ya kundi ulilotaja kumbe serikali imekufa
 
Ukifanya utafiti mdogo utagungua kuwa kumbe Chadema kimejaa watu ambao wamekataliwa na jamii mfano, wezi, ma single mothers, waliokimbia shule, matapeli, nk.

Watu wakiona mfuasi wa Chadema wanakimbia wanajua usalama wao haupo

Inshort huwezi ukawa unaheshima ndan ya jamii halafu ukawa Chadema.
IMG_20240922_035102.jpg
 
Back
Top Bottom