Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
<br /><font size="3"><span style="font-family: book antiqua"><b>Mtafaruku wa kisiasa ndani ya CDM halmashauri ya manispaa ya ARUSHA unazidi kuendelea. Madiwani waliofukuzwa na CDM wameandaa kikao jioni ya leo mjini Arusha kwa lengo la kuwapa wananchi hali halisi kuhusiana na sakata zima la CDM hapo A town. <font color="#0000ff">Tunaomba kwa mwenyezi mungu, sakata la CDM liishe salama ili chama kizidi kuchanja mbuga na kushiriki vizuri mchuano wa IGUNGA wasije kupata kisingizio watapopata kipigo cha mbwa mwizi jimboni IGUNGA wasije na kisinngizio cha mtafaruku wa A town.</font></b></span></font>
Sitaki kusema jambo ambalo madiwani hao kesho watatangaza juu ya hatima ya Chadema Aarusha! Chadema kazi mnayo arusha kama mlitumia akili ya kombati kwa jambo hili mtajutiaaaaa! Subirini kesho news kutoka A town!
Usidanganye umma CDM ni chama makini chenye viongozi makini wanaomaliza matatizo kwa wakati muafakatofauti na wazee wa magamba wanaokaa vikao kuwaomba wahalifu waachie ngazi badala ya kuwawajibisha. CDM itasonga mbele, Arusha wanajua hilo na watanzania wenye fikra pevu wanalijua hilo.Mtafaruku wa kisiasa ndani ya CDM halmashauri ya manispaa ya ARUSHA unazidi kuendelea. Madiwani waliofukuzwa na CDM wameandaa kikao jioni ya leo mjini Arusha kwa lengo la kuwapa wananchi hali halisi kuhusiana na sakata zima la CDM hapo A town. Tunaomba kwa mwenyezi mungu, sakata la CDM liishe salama ili chama kizidi kuchanja mbuga na kushiriki vizuri mchuano wa IGUNGA wasije kupata kisingizio watapopata kipigo cha mbwa mwizi jimboni IGUNGA wasije na kisinngizio cha mtafaruku wa A town.
Arusha watu sio wajinga kama unavyo fikiri ngoja wenyewe CC CDM waje wawaeleze wananchi ni kwa nini waliamua kuwafukuza uanachama hao mafisadi!!!!!!!!!!! Hatuwezi kuendelea kufuga mafisadi eti kwa sababu tunaogopa CCM, hizo fedha walizopewa ndio mwisho wao!!!!!!!!!!
CDM ni corruption freezone!!!!!!!!!!
Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...
NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!
Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama.
Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.
Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!
Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..
...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.
DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!
Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!!
Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!
CDM CC IMEWAVUA UANACHAMA au IMEWAFUKUZA UDIWANI?Shughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.
Mwambie huyo!. Maamuzi ya cc yamepokelewa kwa shangwe na vigelegele...<br />
<br />
Mafilili,huna hoja hayo ni maneno ya mfa maji,ukweli na haki vitashinda daima,chadema bado ni imara sana,na tunajua mbinu zote wanazotaka kutumia,ila bado ari ya umma wa Arusha ipo juu sana,na wanafurahia maamuzi ya CC
<br />Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...<br />
<br />
NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!<br />
<br />
Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama. <br />
<br />
Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. <b>Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.</b><br />
<br />
Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...<b>ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!</b><br />
<br />
Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..<br />
<br />
...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.<br />
<br />
DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!<br />
<br />
Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!! <br />
<br />
Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!
Sitaki kusema jambo ambalo madiwani hao kesho watatangaza juu ya hatima ya Chadema Aarusha! Chadema kazi mnayo arusha kama mlitumia akili ya kombati kwa jambo hili mtajutiaaaaa! Subirini kesho news kutoka A town!
CDM CC IMEWAVUA UANACHAMA au IMEWAFUKUZA UDIWANI?
Nanyaro achana nae huyo ameanzisha thread ya kuwafariji kina Ngongo, Mzee wa Posho na wengine inawezekana ni genge la wahuni wachache watakutana kwenye bar kama wale waliopanga kufunga ofisi wanatapatapa tu nyie songeni mbele watajifia wenyewe.Mafilili,huna hoja hayo ni maneno ya mfa maji,ukweli na haki vitashinda daima,chadema bado ni imara sana,na tunajua mbinu zote wanazotaka kutumia,ila bado ari ya umma wa Arusha ipo juu sana,na wanafurahia maamuzi ya CC
Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...
NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!
Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama.
Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.
Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!
Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..
...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.
DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!
Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!!
Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!
<br />
<br />
Mafilili,huna hoja hayo ni maneno ya mfa maji,ukweli na haki vitashinda daima,chadema bado ni imara sana,na tunajua mbinu zote wanazotaka kutumia,ila bado ari ya umma wa Arusha ipo juu sana,na wanafurahia maamuzi ya CC
Shughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.
hivi hujajiuliza kuwa nguvu ya umma hiyohiyo ilikuwa inataka hao madiwani wavuliwe udiwani kwa kukubali muafaka batili na CCM?Shughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.