Kuna sehemu nahisi CHADEMA hawaendi na moja Kichwani zile hesabu za darasa la pili, tatu, nne hadi la tano. Bahati mbaya mkiambiwa Ukweli huwa mnapiga kelele bila logic.
Hebu CHADEMA kwa unyenyekevu niwaombe mtumie logic bila kusahau hesabu za moja Kichwani. Moja ya jambo ninaloliona halina maana ni kelele za ushabiki wa baadhi ya wanachadema kupiga makelele mitandaoni ya Mzee Au waziri mkuu wa zamani ataka Katiba mpya.
Sidhani Kama Chenge, Sumaye au Msuya kusema Katiba Mpya ni sasa Kuna tija yeyote au ina maana yeyote ile. Badala yake CHADEMA naomba msitoke Kwenye reli ya kuweka mikakati ya kupata Katiba mpya.
Wale wazee walishastafu na walikuwa ngazi za juu serikalini walishindwa nini? Kutuletea hiyo Katiba Mpya, badala yake WANASEMA Leo. Naomba niwakumbushe CCM ni ile ile hutaki rejea uteuzi wa Kingai.
Hebu CHADEMA kwa unyenyekevu niwaombe mtumie logic bila kusahau hesabu za moja Kichwani. Moja ya jambo ninaloliona halina maana ni kelele za ushabiki wa baadhi ya wanachadema kupiga makelele mitandaoni ya Mzee Au waziri mkuu wa zamani ataka Katiba mpya.
Sidhani Kama Chenge, Sumaye au Msuya kusema Katiba Mpya ni sasa Kuna tija yeyote au ina maana yeyote ile. Badala yake CHADEMA naomba msitoke Kwenye reli ya kuweka mikakati ya kupata Katiba mpya.
Wale wazee walishastafu na walikuwa ngazi za juu serikalini walishindwa nini? Kutuletea hiyo Katiba Mpya, badala yake WANASEMA Leo. Naomba niwakumbushe CCM ni ile ile hutaki rejea uteuzi wa Kingai.