Ulitaka tukukabe Jo🤔Vyama vyote vya kibepari duniani ni tajiri isipokuwa CHADEMA
Chadema hupitisha kikapo cha sadaka kwenye mikutano yao ya hadhara
Kwa sass CCM ndio chama cha Matajiri, sielewagi Kwanini
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Ulitaka tukukabe Jo🤔Vyama vyote vya kibepari duniani ni tajiri isipokuwa CHADEMA
Chadema hupitisha kikapo cha sadaka kwenye mikutano yao ya hadhara
Kwa sass CCM ndio chama cha Matajiri, sielewagi Kwanini
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Uwanja wa Namfua, SingidaUnasifia Chama ambacho viwanja vya mpira kilichoibia Wananchi vinakarabatiwa na hela ya Wananchi (serikali) lakini mapato ya kiwanja yanakwenda Chamani? Awali walikuwa wanaiba Sasa wanapora mchana kweupe.
Kutokana na mapungufu ya katiba yetu, CCM inawaibia watanzania.Kwa sass CCM ndio chama cha Matajiri, sielewagi Kwanini
Nasikitika kuona Tanzania bado ina vijana wana Mapinduzi, Mnapindua nin mzee kama siyo Pesa za Raia, Ukute we mwenyewe ni mpinduliwaj tu.Wanapora wakati Chadema mkiwa wapi?
Legacy ya Membe ni ipi hapa Tanzania?Nyie c mnaiba hela za serikali?
Says majizi wa kodi zetu. Kwa vile mbogax2 wamezoea kuiba kodi za watanzania wanaona gere wenzao wakichangiwa kwa hiyari kinyume na ukwapuaji wao.Vyama vyote vya kibepari duniani ni tajiri isipokuwa CHADEMA
Chadema hupitisha kikapo cha sadaka kwenye mikutano yao ya hadhara
Kwa sass CCM ndio chama cha Matajiri, sielewagi Kwanini
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
ccm ndo chama pekee cha kijamaa kinachofanya biashara dunian na kupora mali za matajirVyama vyote vya kibepari duniani ni tajiri isipokuwa CHADEMA
Chadema hupitisha kikapo cha sadaka kwenye mikutano yao ya hadhara
Kwa sass CCM ndio chama cha Matajiri, sielewagi Kwanini
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Inatakiwa ufe mapema sanaVyama vyote vya kibepari duniani ni tajiri isipokuwa CHADEMA
Chadema hupitisha kikapo cha sadaka kwenye mikutano yao ya hadhara
Kwa sass CCM ndio chama cha Matajiri, sielewagi Kwanini
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Swali langu liko palepale Inawezekanaje Kijana kuwa Mwanaccm?ccm ndo chama pekee cha kijamaa kinachofanya biashara dunian na kupora mali za matajir
Kwa sababu hakuna chama tawala mbadalaSwali langu liko palepale Inawezekanaje Kijana kuwa Mwanaccm?
Daaah basi Irudiwe tu wengi wapewe tubaki na Chama kimoja.Kwa sababu hakuna chama tawala mbadala
Chadema awali ilikuwa ni Club ya Mabwanyenye ila 1992 ikakopi Katiba ya Nccr Mageuzi na kujigeuza kuwa chama cha siasaMimi nilishangazwa sana na baadhi ya wasukuma wenzangu huku kanda ya ziwa kumpigia kura dr slaa pindi anagombea urais kwa tiketi ya chadema. Wasukuma na chadema wapi na wapi jamani, msukuma na mchagga mtawezana kweli kukaa meza moja!! Ni heri ukabakia neutral bila chama kuliko kuungana na chadema. My opinion
Sahihi kabisa Bora wezao wanaombaNyie c mnaiba hela za serikali?
Ni lini Tumtemeke Sanga alikuwa Chadema?Enzi za Tuntemeke Sanga, Makani na Mtei Chadema hatukuwa ombaomba kama utopolo!
Wewe huijui Chadema, tulia!Ni lini Tumtemeke Sanga alikuwa Chadema?