Chadema ndani ya Bukoba

Chadema ndani ya Bukoba

Regia Mtema

R I P
Joined
Nov 21, 2009
Posts
2,970
Reaction score
871
Wakuu, Habari!!!

Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

Kutoka Kahama
Regia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.

=================
KATIKA PICHA

KEMONDO.jpg

Hapa ni Kemondo

RWAMISHENYE.jpg

Hapa ni Rwamishenye

BUKOBA.jpg
 
Daima big up dada yetu hata sisi tulio nje ya nchi tunapata taarifa za uhakika mara zote toka kwako - Edmonton Canada
 
big up CDM, tuko pamoja, usisahau picha za matukio, kazi njema. peoplessssssssssssssssssssssssssssssssssss! power
 
Kazi njema. Kikwete anagwaya kweli. CDM wape wananchi hali halisi ya nchi, elimisha umma wa Tz huenda watu wakaamka kutoka usingizini.
 
Hongera dada yangu na Mungu awatangulie daima tupo pamoja nanyi. Ninaomba nifahamu mikakati ya kuimarisha ofisi za CDM wilaya na mikoa kwa kweli nguvu inahitajika kufanikisha hili ninaamini hata ikiitishwa harambee tutafanikisha hili, kwa mfano ofisi ya CDM mkoa wa Dodoma inatia huruma ninaamini hata wewe dada yangu unapokuwa dodoma huwa haikupi hata hamu ya kwenda kupumzika au kufanyia kazi zako mahali pale. Mimi nipo tayari kulitetea hili la uimarishaji au ujenzi wa ofisi hizi
 
Wakuu.Habari!!!

Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

Kutoka Kahama
Reagia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.
Dada Reagia asante kwa taarifa. Na wilaya ya ngara mtafika maana huku kuna wafuasi wengi ambao hawajafikiwa na kuhamasishwa hata kipindi cha kampeni CDM haikufika. Kwa maono yangu haya maeneo ndo ya kuja kuhamasisha zaidi na watu wapo tayari kubadilika.
 
Wakuu.Habari!!!

Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

Kutoka Kahama
Reagia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.

Regia, nini kinaendelea Kahama maana kuna Habari Dr na wabunge wawili wamekamatwa
 
Safari ya ukombozi ni ndefu sana, na yenye harakati nyingi.
Ahsante mheshimiwa sana, nataraji mtafika TBR awamu ijayo.
 
Wakuu.Habari!!!

Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

Kutoka Kahama
Reagia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.
Dada regia tujunze kwanza na hizi tetesi kuwa Dr.slaa mekamatwa kahama,na wabunge wawili.source redio one.
 
unavyo vuta manati ndivyo unaongeza speed ya jiwe.so wanavyomsumbua dr.Slaa ndivyo wanavyomuongezea makali.ni wafa maji
 
hili nalo neno
Hongera dada yangu na Mungu awatangulie daima tupo pamoja nanyi. Ninaomba nifahamu mikakati ya kuimarisha ofisi za CDM wilaya na mikoa kwa kweli nguvu inahitajika kufanikisha hili ninaamini hata ikiitishwa harambee tutafanikisha hili, kwa mfano ofisi ya CDM mkoa wa Dodoma inatia huruma ninaamini hata wewe dada yangu unapokuwa dodoma huwa haikupi hata hamu ya kwenda kupumzika au kufanyia kazi zako mahali pale. Mimi nipo tayari kulitetea hili la uimarishaji au ujenzi wa ofisi hizi
 
Wakuu.Habari!!!

Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

Kutoka Kahama
Reagia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.

Mama sisi tunaomba tu AMANI itawale na kusiwe na maneno ya uchochezi na ya kuleta chuki na mifarakano miongoni mwa jamii kiasi cha kuleta vita katika jamii.

CHADEMA KUMBUKENI MDOMO ULIKIPONZA KICHWA
 
Hongera dada yangu na Mungu awatangulie daima tupo pamoja nanyi. Ninaomba nifahamu mikakati ya kuimarisha ofisi za CDM wilaya na mikoa kwa kweli nguvu inahitajika kufanikisha hili ninaamini hata ikiitishwa harambee tutafanikisha hili, kwa mfano ofisi ya CDM mkoa wa Dodoma inatia huruma ninaamini hata wewe dada yangu unapokuwa dodoma huwa haikupi hata hamu ya kwenda kupumzika au kufanyia kazi zako mahali pale. Mimi nipo tayari kulitetea hili la uimarishaji au ujenzi wa ofisi hizi

HIli hata mimi na hamasika kuchangia, ebu lifanyiwe kazi kwa kina na hasa mnapokuwa kwenye hizo operations basi na maMbo ya Ofisi yaangaliwe, kwani Dr anaweza akafanya kaharambe kwa ajili ya eneo maalum na ikapatikana pesa ya kutengeneza OFISI zinazoendana na Hadhi ya CDM.

Lakini lililo moyoni mwangu ni kujuzwa kwanini siku hizi hatuoni taarifa za maandamano kwenye TV zote, je zimepigwa marufuku kurusha habari za maandamano? Kama kuna uwezekano basi kuwe na kipindi maalum kitakacho rusha matukio ya maandamno na sisi Wadau tutachangia, mradi muweke utaratibu maalum.

HIVI CDM hamuwezi anzisha kituo chenu cha TV?


CDM GO GO GO GOOOOO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Go Slaa go. We are behind. Changes. time will tell.
 
Back
Top Bottom